Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Ikitokea Manchester City akashinda leo navuta milion 50

Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi 20 mechi ya Mancity na Arsenal ndio ya mwisho.
Bwana mdogo
 
KANJI ni zaidi ya mtego ndugu zangu shitukeni, angalia sasa hali uliyonayo kwa sasa. Pole sana asee😂😂
 
1000 bottle for baby oil and lube. Mwamba ni sodoma mno
Ukisoma maelezo ya watu wa karibu,jamaa anapenda sana kisoda aisee,burna boy alikaa wiki kwa didy wakati wa lockdown,toka hapo album yake ya twice as tall ikashinda grammy,tuzo ambazo didy ana ushawishi nazi,simba dangote naye sijui kapona!
 
Ukisoma maelezo ya watu wa karibu,jamaa anapenda sana kisoda aisee,burna boy alikaa wiki kwa didy wakati wa lockdown,toka hapo album yake ya twice as tall ikashinda grammy,tuzo ambazo didy ana ushawishi nazi,simba dangote naye sijui kapona!
Simba na Babu Tale wote wamechezea vichupa vya Johnson Baby oil kwa Diddy.

Diddy kweli muharamia, kamla mtoto wa Tandale😂
1727035992137.png
 
Back
Top Bottom