- Thread starter
- #21
Na mikataba walosainishana mbona ni Siri?Tuliowapa mamlaka yakutuongoza inaonekana kuna mushkeli kwenye kufikiri..
Yaani wameshindwa kutumia resources tulizonazo na kuifanya jamii ya watanzania kuwa moja ya jamii bora duniani..
Leo hii eti tunashabikia watu wetu kwenda kufanya kazi za majumbani uarabuni kwa mishahara ya 500k to 1m.
Yaani tumeshindwa kukifanya kipato cha kila mtanzania kwa mwezi kiwe minimum usd 800 hii kwa wasio kuwa na kazi rasmi au wasio na kazi kabisa?
What if wakienda kutolewa Figo huko!!