Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hivi wewe unaakili timamu kweli? Huku uraiani kuna zaidi ya raia 30000 wa kada za afya nursing hawana ajira. Tumepata fursa ya nafasi 500 za nje ya nchi unataka kusemaje?Hao wauguzi wametosha kwenye hospitali zetu nchini Hadi tuwapeleke uarabuni Kwa 600k?
Kwann Serikali isiwaajiri?!!!