Ikiwa ajira za uarabuni zinalipa, watoto wa viongozi Waoneshe mfano Kwa vitendo

Na mikataba walosainishana mbona ni Siri?

What if wakienda kutolewa Figo huko!!
 
Unaenda mzima unarudi bila rinda hata moja.
Mateso wanayosimulia waliowahi kwenda kufanya KAZI uarabuni hayaelezeki,

Halafu Leo wanasaini mikataba KABISA kana kwamba wanauziana ng'ombe!!

Nani ameshirikishwa?

Na je KILIMO Si UTI wa mgongo wa uchumi wetu tena, Bali Utumwa Kwa WAARABU?
 
Mateso wanayosimulia waliowahi kwenda kufanya KAZI uarabuni hayaelezeki,

Halafu Leo wanasaini mikataba KABISA kana kwamba wanauziana ng'ombe!!

Nani ameshirikishwa?

Na je KILIMO Si UTI wa mgongo wa uchumi wetu tena, Bali Utumwa Kwa WAARABU?
Nilishawahi kusema humu hizi safari nyingi za huyu Mama huko Uarabuni iko siku tutauzwa Utumwani.
 
Ndo tunataka viongozi wetu wawatangulize watoto wao Ili tujue Kweli Utumwa unalipa uarabuni!!
 
Nchi ya Nigeria na Kenya baada ya uingereza kuweka sheria ya skills pull Nigeria na Kenya wamemwaga manurse na madaktari wa kutosha. Kazi wanazofanya zinawawezesha kununua nyumba uingereza ambazo thamani yake ni wastani wa Billion ya kitanzania japo ni mortgage wanayokupa kwa muda nrefu lakini ni investment inayowezesha generation zao kunufaika .tuko busy kuwapeleka uarabuni ujifika unakabidhi passport na huruhusiwi kupata uraia . Serikali iweke sawa elimu yetu na watu wetu wawe na uwezo kama wakenya na wanigeria hizo takataka za uarabuni subirini miaka kadhaa mtasema in exchange to your ports and forests
 
Haulazimishwi mkuu. Kama unaona mashamba yanipa piga jembe.

Wanao ona fursa uarabuni waende.

Kupanga ni kuchagua
 
Ikiwa kidato Cha nne wanamakiza hata barua ya kuomba KAZI hawawezi kuandika,

Wataajirika vipi, kukwepa kuwajibika, ndo wanakuja na ajira hizi za kitumwa!!
 
Halafu, mbona fursa za middle east ndio wanazikubali kirahisi na kushawishi sana watu waende, mbona fursa za western countries wanawekaga ugumu na uzibe fulani hivi
Mkuu western si kwamba hakuna fursa . We are not competent enough ila kwa Kasi ya ugawaji wa rasilimali kama wangedhamiria kuweka deal na credible countries uingereza recently imegawa nafasi za kutosha Kwa wakenya na wanigeria .so many young boys and girls ndo wanaendesha health care kwa sasa. Benefit ni kubwa Sana ya kufanya kazi kama uingereza you will then be accepted Australia au US kiurahisi. Tatizo nadhani ni elimu tunayipewa na viongozi kutanguliza matumbo.jambo la kujiuliza Kenya wamefanyaje mpaka vijana wake kumwagwa kwa kiwango ninachokiona
 
Sawa kabisa hatutaki kuona yakina Joshua mollel watoto wa wanyonge kujakuteswa huko
 
Kafala System watu hawaijui unapigishwa deki mpaka alfajiri hamna sehemu ya kushitaki.

Foreigners hawana HAKI chini ya Kafala System.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…