Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Nimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta amtangaze Raila Odinga kuwa mshindi ama sivyo basi atangaze kuwa hakuna mshindi aliefikisha 50%+1.
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?