Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGUJiandae kuficha uso.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGUJiandae kuficha uso.
Weka akiba ya maneno, Mkuu. Dunia hii inazunguka ndani ya muhimili wake na inalizunguka jua kwa siku 365.25 ama siku 366! Hii ni kwa sababu Kuna uwezekano mkubwa haujamjua vizuri shetani ni nani na Mungu wa ukweli ni yupi.!SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Lakini inaonyesha Ruto akishilikiana na Chibukati walidukua mifumo ya kura Ili kumuwezesha Ruto kushinda Uchaguzi..Nimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta amtangaze Raila Odinga kuwa mshindi ama sivyo basi atangaze kuwa hakuna mshindi aliefikisha 50%+1.
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?
Kazi iliishakwisha huyo mzee atulie ale ruzuku ya uPM maana age imeenda.Lakini inaonyesha Ruto akishilikiana na Chibukati walidukua mifumo ya kura Ili kumuwezesha Ruto kushinda Uchaguzi..
Hao waliomfuata Chibukati bila shaka walipigwa na butwaa kwa nini matokeo ni tofauti?
Tusubirie Mahakama
Alifuatwa na CICNimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta amtangaze Raila Odinga kuwa mshindi ama sivyo basi atangaze kuwa hakuna mshindi aliefikisha 50%+1.
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?
Mbinguni kunaenda mashetani?Chebukati mbinguni moja KWA moja
Hata mimi nilimchukia kumshabikia Jiwe!Laana ya kushabikia udikteta wa jiwe imemtafuna Odinga , Mungu hataniwi
NaChebukati mbinguni moja KWA moja
Na vipi hatma ya Jecha na kuhusu Mafweza Je🤔Mbinguni kunaenda mashetani?
Bado haitoshi ...Jiandae kuficha uso.
Huo waweza kuwa uzushi.Nimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta amtangaze Raila Odinga kuwa mshindi ama sivyo basi atangaze kuwa hakuna mshindi aliefikisha 50%+1.
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?
Subiri nyongeza, Mkuu. Ha ha ha haaaa!Bado haitoshi ...
Just a call inatosha from hotline !!Nimeona taarifa ya Habari jana huko Kenya wakati kuwa Wafula Chebukati na tume yake walifuatwa na jopo toka ngazi za juu ikiongozwa na Naibu Mkuu wa Majeshi Bwana Ogolla akiongozana na IGP Joseph Mutyambai, Joseph Kinyua Mkuu wa utumishi wa Umma pamoja na Afisa wa Ikuli mmoja walimfuata na kumta amtangaze Raila Odinga kuwa mshindi ama sivyo basi atangaze kuwa hakuna mshindi aliefikisha 50%+1.
Najiuliza kama huku Chebukati alifuatwa na hawa je Jecha alifuatwa na nani huko Zanzibar 2015 mpaka akapindua matokeo ya Ushindi wa Hayati Maalim Seif?
Umenena !Huobwaweza kuwa uzushi.
Hawezi kufuatwa na wakuu kama hao halafu apindue meza kwa Afrika hii wangempoteza kitambo
Mbingu ipi?
Kwani kachero mbobezi na dakika zake 90 aliishia wapi?Subiri Dakika 90