Ikiwa Chebukati alifuatwa na Vice Chief of Defence Forces! Je, Jecha alifuatwa na nani 2015 mpaka akapindua matokeo?

Ikiwa Chebukati alifuatwa na Vice Chief of Defence Forces! Je, Jecha alifuatwa na nani 2015 mpaka akapindua matokeo?

Jecha ni jamaa yetu tu pale kisiwandui, hahitaji hata kufuatwa, yeye mwenyewe tu mtiifu.
 
Ndiyo maana nilipoona taarifa ya forensic report ya polisi nikahisi kuna kitu hakipo sawa kabisa. Hao wa venezuela usikute walikuwepo kenya kwa ajili ya kampuni halali inayosimamia hiyo server au walikuwa upande wa Odinga wakaamua kupindua meza.
Mkuu sijabahtika kuiona forensic report,je imezungumza nini?.
 
Ili mradi tume imeshamtangaza , imeishaaaa !!.


Kumpindua matokeo ya Ruto ni kuleta Vita Kenya !!.
 
Back
Top Bottom