Ikiwa Chebukati alifuatwa na Vice Chief of Defence Forces! Je, Jecha alifuatwa na nani 2015 mpaka akapindua matokeo?

Lakini inaonyesha Ruto akishilikiana na Chibukati walidukua mifumo ya kura Ili kumuwezesha Ruto kushinda Uchaguzi..

Hao waliomfuata Chibukati bila shaka walipigwa na butwaa kwa nini matokeo ni tofauti?

Tusubirie Mahakama
 
Lakini inaonyesha Ruto akishilikiana na Chibukati walidukua mifumo ya kura Ili kumuwezesha Ruto kushinda Uchaguzi..

Hao waliomfuata Chibukati bila shaka walipigwa na butwaa kwa nini matokeo ni tofauti?

Tusubirie Mahakama
Kazi iliishakwisha huyo mzee atulie ale ruzuku ya uPM maana age imeenda.
 
Alifuatwa na CIC

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ushahidi w habari yako uliona na mm nione please.
 
Huo waweza kuwa uzushi.
Hawezi kufuatwa na wakuu kama hao halafu apindue meza kwa Afrika hii wangempoteza kitambo
 
Just a call inatosha from hotline !!
 
Kama ni kweli Uhuru alikuwa behind Raila in reality basi Ruto atakatwa tu hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…