Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Lzm kanisa lilindwe Tena na kampuni pendwa ya g4s security solution au Garda warda
Una taka mashetanj waje wanye na kujisadia kanisani na kutupa matakataka Yao
Kimara korogwe wapo walinzi na camera za CCTV iko kila Kona
Na bado kanisa linajaribiwa mno
Ni muhimu kumlindia mungu nyumba yake
Periods
Basi hata huko anakoishi huyo mungu wenu hakuna usalama.
Kama mwanadamu anaweza kulinda nyumba ya mungu wake hiyo inatoa picha kuwa huyo mungu ni dhaifu