Ikiwa Leo freeman mbowe ataanzisha chama kipya Cha siasa maelfu ya wanachadema wataungana nae na huo utakuwa mwisho wa chadema

Sa
Sawa
 
Ili iweje wewe
 
Kama kura tu walimnyima nani atakayemuunga mkono? Labda demu wake mama na machawa wake ndiowatakao ungananaye
 
Hakuna sheria inayokataza "kuwaza ujinga bila kuvunja sheria".
 
Nonsense...
 
Kwanini asichangie kile chama kichovu ccm,mbona wenyewe walimchangia sana tuu?
 
.
 

Attachments

  • JamiiForums1381953234.jpeg
    49.5 KB · Views: 1

Ungeweka disclaimer boss kwamba ni imani yako tu sio standard wala hujafanya utafiti wowote, tuende sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…