Ikiwa Leo freeman mbowe ataanzisha chama kipya Cha siasa maelfu ya wanachadema wataungana nae na huo utakuwa mwisho wa chadema

Ikiwa Leo freeman mbowe ataanzisha chama kipya Cha siasa maelfu ya wanachadema wataungana nae na huo utakuwa mwisho wa chadema

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi wa chadema waliopo madarakani kwa sasa ni kana kwamba waligombea ili kumkomoa freeman mbowe kisiasa ,waliingia kwenye kinyang'anyiro kwa visasi na si kwenda kuongoza ! Kauli za kudhalilisha zinaendelea kutolewa mpaka sasa ! Na viongozi wapya hawana wisdom kabisa ya utawala ! Kwa mwenendo huu viongozi wengi ndani ya chadema hii ya sasa mioyo yao ipo kwa freeman mbowe na hata Leo freeman akiamua kusajili chama kipya Cha kisiasa basi ataungwa mkono na maelfu ya wanachadema hata Mimi nikiwemo ,natumia Kalamu yangu kumtaka mh freeman mbowe aunde chama kipya Cha siasa Bado ni kijana na Bado taifa linamhitaji aachane na kijiwe Cha majungu Cha chadema ya sasa
 
Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi wa chadema waliopo madarakani kwa sasa ni kana kwamba waligombea ili kumkomoa freeman mbowe kisiasa ,waliingia kwenye kinyang'anyiro kwa visasi na si kwenda kuongoza ! Kauli za kudhalilisha zinaendelea kutolewa mpaka sasa ! Na viongozi wapya hawana wisdom kabisa ya utawala ! Kwa mwenendo huu viongozi wengi ndani ya chadema hii ya sasa mioyo yao ipo kwa freeman mbowe na hata Leo freeman akiamua kusajili chama kipya Cha kisiasa basi ataungwa mkono na maelfu ya wanachadema hata Mimi nikiwemo ,natumia Kalamu yangu kumtaka mh freeman mbowe aunde chama kipya Cha siasa Bado ni kijana na Bado taifa linamhitaji aachane na kijiwe Cha majungu Cha chadema ya sasa
🚮🚮🚮
 
Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi wa chadema waliopo madarakani kwa sasa ni kana kwamba waligombea ili kumkomoa freeman mbowe kisiasa ,waliingia kwenye kinyang'anyiro kwa visasi na si kwenda kuongoza ! Kauli za kudhalilisha zinaendelea kutolewa mpaka sasa ! Na viongozi wapya hawana wisdom kabisa ya utawala ! Kwa mwenendo huu viongozi wengi ndani ya chadema hii ya sasa mioyo yao ipo kwa freeman mbowe na hata Leo freeman akiamua kusajili chama kipya Cha kisiasa basi ataungwa mkono na maelfu ya wanachadema hata Mimi nikiwemo ,natumia Kalamu yangu kumtaka mh freeman mbowe aunde chama kipya Cha siasa Bado ni kijana na Bado taifa linamhitaji aachane na kijiwe Cha majungu Cha chadema ya sasa
Kwani Mganguzi wako ndivyo alikuambia?
 
Ni kwa sababu anachangia fedha nyingi chamani? Isiwe taabu lissu akimamaliza muhula wake mbowe arudie tena kuongoza chama au ahamie kwingine au aanzishe tena chama chake kipya. Ana hela nyingi za kuchangia chama na watu wana njaa kali watamuunga mkono
 
Ni ngumu kuelewa content hii .mfano hivi wewe ukiamua kuanzisha duka kariakoo utaua maduka mengine? . Note this , Kwa kuwa unajulikana ,Moja utafatiliwa kwa mazuri au mabaya . Kuna watakao hoji kwa Nini ameanzisha chama . Kuna wengine watasema afadhali kaanzisha tumkomoe mpinzani Fulani ka sababu ya gubu lake tu .Vyama vinaendeshwa kwa mission and vision.
 
Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi wa chadema waliopo madarakani kwa sasa ni kana kwamba waligombea ili kumkomoa freeman mbowe kisiasa ,waliingia kwenye kinyang'anyiro kwa visasi na si kwenda kuongoza ! Kauli za kudhalilisha zinaendelea kutolewa mpaka sasa ! Na viongozi wapya hawana wisdom kabisa ya utawala ! Kwa mwenendo huu viongozi wengi ndani ya chadema hii ya sasa mioyo yao ipo kwa freeman mbowe na hata Leo freeman akiamua kusajili chama kipya Cha kisiasa basi ataungwa mkono na maelfu ya wanachadema hata Mimi nikiwemo ,natumia Kalamu yangu kumtaka mh freeman mbowe aunde chama kipya Cha siasa Bado ni kijana na Bado taifa linamhitaji aachane na kijiwe Cha majungu Cha chadema ya sasa
Kwa nini usisema mpina? Wana ccm wangapi watamfuata nadhani ni maelfu kwa maelfu
 
Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi wa chadema waliopo madarakani kwa sasa ni kana kwamba waligombea ili kumkomoa freeman mbowe kisiasa ,waliingia kwenye kinyang'anyiro kwa visasi na si kwenda kuongoza ! Kauli za kudhalilisha zinaendelea kutolewa mpaka sasa ! Na viongozi wapya hawana wisdom kabisa ya utawala ! Kwa mwenendo huu viongozi wengi ndani ya chadema hii ya sasa mioyo yao ipo kwa freeman mbowe na hata Leo freeman akiamua kusajili chama kipya Cha kisiasa basi ataungwa mkono na maelfu ya wanachadema hata Mimi nikiwemo ,natumia Kalamu yangu kumtaka mh freeman mbowe aunde chama kipya Cha siasa Bado ni kijana na Bado taifa linamhitaji aachane na kijiwe Cha majungu Cha chadema ya sasa
Wewe ni mjinga, watanzania wanataka utitiri wa vyama au maendeleo? Hujui hivyo vyama vinaishi kwa Kodi Yako?
 
Back
Top Bottom