Ikiwa Mazishi ni Ibada, basi usiingilie ibada za wafu. Waache wafu wawazike wafu wenzao

Nyama msibani inafanyaje?kwani imefanyiwa tambiko lolote?
Baadhi/Wengi wasiookoka, ingawa Si wote,,wenye kushika Mila mbovu,katika misiba Hasa ktk arobaini, huchanganya na kipande Cha nyama ya mfu au maji au uchafu wa marehemu kimazingara sufuriani Ili mshiriki chakula kama IBADA na mfu.

Ni vizuri kutakasa chakula kabla ya kula, bt kuondoa sintofahamu Kwa tahadhari epuka kula nyama misibani.

Magonjwa mengi ya kuoza mwilini au kansa ni matokeo ya kula nyama au uchafu wa wafu.

Misibani Huwa ni Mahali spesho wachawi huwatafuta watu kupitia vyakula. Sababu katika msiba wenye watu 100 Kwa Mfano, uwe na HAKIKA hutakosa wachawi 20 au zaidi.

Sorry kukwambia mambo ambayo yaeza kuwa beyond your expectation.
 
Uongo
 
Siku ukinielewa dini yako haitakuwa Ukristo au uislam, Bali itakuwa Upendo, Haki, ukweli na Akili.
Utawapenda Watu bila kujali tofauti zao/zenu.
Utawaweka Watu katika makundi Yao ili usije ukawadhulumu Haki zao.

Karibu Sana Tibeli
Pamoja na matendo hayo yote mema,

Kama hujamkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha Yako, wewe ni Kuni ilotunzwa Kwa moto wa Jehanum,

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Duh,Kwa hiyo mfu anakatwa kipande cha mwili wake?
Hapo kwenye Kansa pana ukakasi,umeongea kama layman.....tafute muda ujifunze
 
Duh,Kwa hiyo mfu anakatwa kipande cha mwili wake?
Hapo kwenye Kansa pana ukakasi,umeongea kama layman.....tafute muda ujifunze
Si Kila kansa au uvumbe hutokana na niliyoyaandika,

Mm naongea ktk perspective ya kiroho,

Kama huamini hiyo ni case ingine.

Omba Uzima, ukitoboa miaka 60+ utakuwa shuhuda mzuri wa niliyoandika Kwa experience kabisa,

Maana kuishi kwingi ni kuona mengi.

Bt pia okoka kama hujafanya hivyo, utapata ulinzi wa direct, utaambiwa nini Cha kufanya uwapo ktk risk.

Amen
 
Sawa mkuu
 
Siku ukinielewa dini yako haitakuwa Ukristo au uislam, Bali itakuwa Upendo, Haki, ukweli na Akili.
Utawapenda Watu bila kujali tofauti zao/zenu.
Utawaweka Watu katika makundi Yao ili usije ukawadhulumu Haki zao.

Karibu Sana Tibeli
Na akikuelewa atakuwa Freemason.

Freemason ndiyo upendo, haki, ukweli, maarifa na undugu wa kusaidiana ili kupinga habari za uongo wa kidini.

Hawawezi kuelewa freemason kwasababu ni dhana ambayo imejengewa conspiracy theories nyingo kiasi kwamba huwezi pata ukweli wake.

Yaani ni hearsey tu za wafia dini.
 
Kumbe uko chama la masonry, Upumbavu huo ni Mzigo mzito sana.

Maybe utafunguliwa, who knows!!
 
Wakristo someni Biblia,
Mpate kuijua kweli,
Nayo kweli itawaweka huru,
Mtoa mada katoa neno,
Ila linaukakasi,
Mimi binafsi sikubaliani na tafsiri ya mtoa mada.
Kuutafuta ukweli kwenye biblia ni sawa kabisa na kutafuta mwanamke mrembo mwenye uume mrefu.
 
Kumbe uko chama la masonry, Upumbavu huo ni Mzigo mzito sana.

Maybe utafunguliwa, who knows!!
Ndo hawa watu ambao ninawalenga.

Ufinyu wa akili na kujifungia milango ya uelewa.
Akili zote umeshikiliziwa.

Hutaki kujifunza.

Yote ya yote nmeongea hoja zangu vzuri, lakini zimetukanwa bila kupanguliwa.

Akili yako inauwezo mkubwa zaidi ya hapo ulipo sasa.
 
Pamoja na matendo hayo yote mema,

Kama hujamkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha Yako, wewe ni Kuni ilotunzwa Kwa moto wa Jehanum,

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Kwamba mpaka umkiri yesu ni mwokozi wa maisha?

Ukimkiri hautokufa?
Ukimkiri utapona kwenye ajari?

Mwokozi wa maisha yapi wewe unayaongelea.

Kwanini huyo Mungu Mjuzi wa yote na muweza wa yote na mwenye upendo wote anachezea watu michezo mibaya?
Anachezea watu michezo mibaya kwasababu kila baya ambalo anataka umkiri akuokoe, yeye ndiye kalitengeneza/kalipanga litokee.
Unaelewa hata hilo?
 
Mauongo uongo tu.

Hzo ni Imani zako potofu.

Kama unabisha thibitisha habari za misibani kula vyakula vyenye maji yalooshewa maiti
 
Ukiangalia kwa umakini utaona Nimezungumzia wafu wa aina . Wafu ambao miili yao iliishazikwa na wafu ambao wako hai kimwili lkn wamekufa ktk utu wao rohoni /nafsini .
 
Kwa hiyo kama watu wa Mungu,ambao ndio tunaiga mfano kwao walikuwa wanaheshimu wafu mababu zao waliotangulia,Kwa nini sisi unatusisitizia tuachane na mambo Yao?
Kuna tofauti Kati ya kuheshimu na kuingilia . Lkn pia ukiangalia kwa umakini utaona Nimezungumzia wafu wa aina mbili . Wafu ambao miili yao iliishazikwa na wafu ambao wako hai kimwili lkn wamekufa ktk utu wao rohoni nafsini.. Ni falsafa hiyo isome kwa umakini
 
A
Ahsante sana
 
Duuuu
Duuuu
 
Siku ukinielewa dini yako haitakuwa Ukristo au uislam, Bali itakuwa Upendo, Haki, ukweli na Akili.
Utawapenda Watu bila kujali tofauti zao/zenu.
Utawaweka Watu katika makundi Yao ili usije ukawadhulumu Haki zao.

Karibu Sana Tibeli
Ukristo ni all about love, no judging anybody, the greatest commandment in Christianity in LOVE TO YOUR CREATOR and to your NEIGHBOR...... Ukristo SIO dini ni Uhusiano wa Wanadamu na Mungu kupitia Yesu.....
 
Ukristo ni all about love, no judging anybody, the greatest commandment in Christianity in LOVE TO YOUR CREATOR and to your NEIGHBOR...... Ukristo SIO dini ni Uhusiano wa Wanadamu na Mungu kupitia Yesu.....

Utibeli hi mambo haya manne
1. Upendo,
2. Haki
3. Ukweli
4. Akili

Ukristo unaupungufu wa hayo Matatu yaliyobakia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…