Ikiwa mko kwenye mahusiano au ndoa, na kati yenu moja anachepuka, na ikagundulika, je unapaswa kudeal na mwenzi wako au yule wa nje anae chepuka nae?

Ikiwa mko kwenye mahusiano au ndoa, na kati yenu moja anachepuka, na ikagundulika, je unapaswa kudeal na mwenzi wako au yule wa nje anae chepuka nae?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
miongoni mwa changamoto kubwa kwenye mahusiano na ndoa nyingi kwa sasa ni kukosekana kwa uaminifu baina ya wahusika..

kuchepuka na michepuko limekua jambo la kawaida na ni chanzo cha migogoro na kusambaratika kwa chumba nyingi, mahusiano na ndoa nyingi sana, huku wanaoathirika zaidi ni watoto ikiwa wahusika walibahatika kupata...

na changamoto kubwa zaidi hapa ni jinsi au namna ya kuresolve kasumba hii ya michepuko inayohatarisha uhai wa uchumba na ndoa nyingi...

Je,
kama muhusika kwenye mahusiano au ndoa, ni busara zaidi kudeal na nani kati ya mwenzi wako au anae chepuka nae ili kukomesha na kudhibiti uchepukaji, kwa mustakabali mwema wa uchumba au ndoa yako?🐒

kwa wenye uzoefu itapendeza zaidi..
 
Siku Moja ntakuja na elimu thabiti kuhusu hii changamoto, mdhania wa chimbuko lake na tafsiri ya kiumbe mwanamke kuwekwa katika kundi la watoto, watu wasiokuwa na akili binafsi na akili za halali na kuaminiwa ndiomana sheria nyingi ziko upande wao.

Hio siku ntatupa mawe kwa lugha ya fasihi ili jamii isipate kufadhaika na kushangaa ukweli huo
 
Kuchepuka ni nini?Kimsingi Mwenzio akichepuka unadili na ww mwenyewe ujiulize unakosea wapi au anakosa nini kwako mpaka achepuke nje.Wala si udili na mwenzako wala mchepuko wake unless kama unataka umuulize mwenzi wako uko nje anapewa nini ili umpe na wewe uulize mchepuko wake unampa nini ili na wwe umpe.

As a matter of fact kuchepuka ni harakati za kawaida za mapenzi na mpenzi wake akichepuka ama umuache au uzidishe kumpenda mpaka aridhike
 
miongoni mwa changamoto kubwa kwenye mahusiano na ndoa nyingi kwa sasa ni kukosekana kwa uaminifu baina ya wahusika..

kuchepuka na michepuko limekua jambo la kawaida na ni chanzo cha migogoro na kusambaratika kwa chumba nyingi, mahusiano na ndoa nyingi sana, huku wanaoathirika zaidi ni watoto ikiwa wahusika walibahatika kupata...

na changamoto kubwa zaidi hapa ni jinsi au namna ya kuresolve kasumba hii ya michepuko inayohatarisha uhai wa uchumba na ndoa nyingi...

Je,
kama muhusika kwenye mahusiano au ndoa, ni busara zaidi kudeal na nani kati ya mwenzi wako au anae chepuka nae ili kukomesha na kudhibiti uchepukaji, kwa mustakabali mwema wa uchumba au ndoa yako?🐒

kwa wenye uzoefu itapendeza zaidi..
Jumatatu siku ya ushauri mkuu
 
Kuchepuka ni nini?Kimsingi Mwenzio akichepuka unadili na ww mwenyewe ujiulize unakosea wapi au anakosa nini kwako mpaka achepuke nje.Wala si udili na mwenzako wala mchepuko wake unless kama unataka umuulize mwenzi wako uko nje anapewa nini ili umpe na wewe uulize mchepuko wake unampa nini ili na wwe umpe.

As a matter of fact kuchepuka ni harakati za kawaida za mapenzi na mpenzi wake akichepuka ama umuache au uzidishe kumpenda mpaka aridhike
so,
ni muhimu zaidi kudeal na mwenzi wako, na sio mchepuko wake, right?🐒
 
miongoni mwa changamoto kubwa kwenye mahusiano na ndoa nyingi kwa sasa ni kukosekana kwa uaminifu baina ya wahusika..

kuchepuka na michepuko limekua jambo la kawaida na ni chanzo cha migogoro na kusambaratika kwa chumba nyingi, mahusiano na ndoa nyingi sana, huku wanaoathirika zaidi ni watoto ikiwa wahusika walibahatika kupata...

na changamoto kubwa zaidi hapa ni jinsi au namna ya kuresolve kasumba hii ya michepuko inayohatarisha uhai wa uchumba na ndoa nyingi...

Je,
kama muhusika kwenye mahusiano au ndoa, ni busara zaidi kudeal na nani kati ya mwenzi wako au anae chepuka nae ili kukomesha na kudhibiti uchepukaji, kwa mustakabali mwema wa uchumba au ndoa yako?🐒

kwa wenye uzoefu itapendeza zaidi..
Unamuacha aendelee na maisha yake.Hamna nafasi ya lihunihuni.
 
Kiukweli adili na mwenza wake ila kwanin watu wamekuwa wasaliti hivi Huwa najiuliza sana had unaamua kuoa au kuolewa unakuwa hujaridhika na huyo mtu au ni nn wimbi limekuwa kubwa had Kwa wanawake
nadhani hiyo pia ni changamoto muhimu sana inafaa kua na mjadala mpaka kujua kiini hasa ni nini...

but all in all kudeal na mwenza wako ni muhimu zaidi katika kuimarisha na kustawisha uhai uchumba au ndoa yenu,
thank you 🐒
 
miongoni mwa changamoto kubwa kwenye mahusiano na ndoa nyingi kwa sasa ni kukosekana kwa uaminifu baina ya wahusika..

kuchepuka na michepuko limekua jambo la kawaida na ni chanzo cha migogoro na kusambaratika kwa chumba nyingi, mahusiano na ndoa nyingi sana, huku wanaoathirika zaidi ni watoto ikiwa wahusika walibahatika kupata...

na changamoto kubwa zaidi hapa ni jinsi au namna ya kuresolve kasumba hii ya michepuko inayohatarisha uhai wa uchumba na ndoa nyingi...

Je,
kama muhusika kwenye mahusiano au ndoa, ni busara zaidi kudeal na nani kati ya mwenzi wako au anae chepuka nae ili kukomesha na kudhibiti uchepukaji, kwa mustakabali mwema wa uchumba au ndoa yako?🐒

kwa wenye uzoefu itapendeza zaidi..
Mheshimiwa umetmbewa?? 😹
 
Back
Top Bottom