Ikiwa nitasema uongo ili kuokoa maisha yangu au ya mtu mwingine , Je nitakuwa nimetenda dhambi?

Ikiwa nitasema uongo ili kuokoa maisha yangu au ya mtu mwingine , Je nitakuwa nimetenda dhambi?

Kuna nyakati katika maisha yetu inatubidi au utokea tuseme uwongo ili kuzuia hatari mbalimbali pamoja kuokoa maisha yetu au ya watu wengine.

Je kufanya hivyo ni dhambi na ni chukizo kwa mwenyezi Mungu?

Mithali 6:16-17 inasema
16Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17Macho ya kiburi,ulimi wa uwongo, na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia.

Nawasilisha🙏🙏🙏
Sio kila uongo ni dhambi.

Uongo unaweza ukakupeleka peponi kama tu huo uongo unaleta vitu chanya.
 
Sijawahi ona Viongozi wa serikali wanaongea ukweli..
Actually hata wazazi wetu wametulea Kwa kutujaza uongo mwingi sana..

Maisha bila kuongea uongo it is almost impossible..
Viongozi wa dini ndo mabingwa WA kuongea uongo
Niliwahi kusoma mahali, kuna Nchi inakuaga na mashindano ya kusema Uongo hadi Mtu akuamini ila Wanasiasa hawaruhusiwi kushiriki🤠🤠🤠🤠
 
Waislamu wako wazi kuhusu uwongo ila wakristu wanamumunya tu maneno. Halafu wanaishi Kikristu kuliko wakristu wenyewe. Namaanisha kulingana na matendo na mafundisho ya Yesu.
 
Kuna nyakati katika maisha yetu inatubidi au utokea tuseme uwongo ili kuzuia hatari mbalimbali pamoja kuokoa maisha yetu au ya watu wengine.

Je kufanya hivyo ni dhambi na ni chukizo kwa mwenyezi Mungu?

Mithali 6:16-17 inasema
16Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
17Macho ya kiburi,ulimi wa uwongo, na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia.

Nawasilisha🙏🙏🙏
Ndio.
 
Back
Top Bottom