Ikiwa tarehe 23 August ni mapumziko, je karani atazifikia kaya zote kwa siku hiyo?

Ikiwa tarehe 23 August ni mapumziko, je karani atazifikia kaya zote kwa siku hiyo?

Hilo zoezi la sensa litaendelea kwa siku sita kulingana na nilivyosikia mwanzo, na kila siku hapo karani wa sensa atakuwa na majukumu tofauti, kuna kujua hesabu ya watu waliolala kwenye kaya husika, kujua idadi na wazee, vijana, wanawake, watoto, na wanaume, n.k

Naona kama wamelirefusha hilo zoezi makusudi ili angalau makarani wa sensa wawe busy, ili watakapokuja kulipwa, ionekane kweli walikuwa kazini.

Otherwise hilo zoezi naona lingeweza kuchukua hata siku moja likamilike, hii siku moja ya mapumziko kwangu ni kama siku ya kusherehekea kuanza kwa sensa Tanzania.
Hata certificate ya takwimu huna,hesabu za takwimu zolikushinda darasani,lakini Domo Pana kupinga utaratibu uliowekwa na wabobezi wa takwimu...acheni ujuaji!!!
 
Sasa logic ya mapumziko iko wapi ikiwa kwa siku nyingine mhusika wa kaya hatakuwepo?

Hivi great thinkers wa nchi hii ndio kusema wote wameshatangulia mbele za haki???,[emoji848]
Itapunguza load kwa siku ya kwanza, ukiwakuta wote utakaowatembelea siku hiyo na kupata taarifa mapema utapitia kaya nyingi sana.

Sio siku ya kwanza unakutana na viunzi tu kazi inakuwa ngumu kurudi rudi.

You are not great thinker alone.
 
Hilo zoezi la sensa litaendelea kwa siku sita kulingana na nilivyosikia mwanzo, na kila siku hapo karani wa sensa atakuwa na majukumu tofauti, kuna kujua hesabu ya watu waliolala kwenye kaya husika, kujua idadi na wazee, vijana, wanawake, watoto, na wanaume, n.k

Naona kama wamelirefusha hilo zoezi makusudi ili angalau makarani wa sensa wawe busy, ili watakapokuja kulipwa, ionekane kweli walikuwa kazini.

Otherwise hilo zoezi naona lingeweza kuchukua hata siku moja likamilike, hii siku moja ya mapumziko kwangu ni kama siku ya kusherehekea kuanza kwa sensa Tanzania.
HUJITAMBUI MKUU TUKUSAMEHE TU
 
You are not great thinker alone.
Pole sana.
Inaelekea huna uzoefu na hii kazi.
Na si watu wote utawakuta kwa siku na muda husika. Kurudi kwa mara nyingine hakuepukiki.

Yaani kwamba kwenye mtaa/ kijiji watu wote waache kwenda kutafuta riziki wakimsubiri msenseshaji/karani?
Labda kama ni quarters za watumishi wa umma na huyo karani aanzie hapo siku hiyo.

2012 tulihesabu watu na tulipata taarifa za wahusika kupitia watu wengine katika familia kwa ambao hawakuwepo. Na sio ndani ya siku moja.

Kuna mtu atakuwa safarini, huko aendako hakulala huko, maanake ni kwamba taarifa ataziacha kule anakopaswa kuhesabiwa.

Kuna kaya unaweza kukuta msiba au sherehe, karani itabidi uende wakati mwingine ili kupata taarifa.
Na ndio maana ya siku kuwa zaidi ya moja.
This country doesn't have enough great thinkers.

Na utakuja kusikia hoja hii ikipewa uzito subiri tu great thinkers wazinduke toka usingizini.
 
Ana siku 6 za kufanya kazi
Basi mapumziko yawe ya siku 6. Mie kama sina wa kumuachia taarifa zangu nisiende kazini kisa nasubiria karani wa sensa? Anyway, miaka yote mbona sensa ilikuwa siku 1 na mambo yalikwenda sawa? Labda tatizo la vishikwambi ndio maana kuna wasiwasi. Mara hakuna mtandao, mara kishikwambi kimeishiwa charge. Makarani kazi wanayo, Wallah!
 
Kwa mtazamo wangu nadhani maamuzi mengine yanahitaji fikra yakinifu na si msumumo wa wadau. Ikiwa wametangaza siku ya sensa kuwa siku ya mapumziko, na kwa nijuavyo si rahisi karani kuzifikia kaya zote kwa siku moja.

Labda kama mapumziko hayo yangekuwa ya wiki nzima. Ama sivyo, watumishi wangepewa siku moja maalum ya kupumzika kwa kuwasiliana na karani au mwenyekiti wa eneo lake kwa siku ambayo karani atafika kwenye kaya yake.

Maana lengo kuu ni kupata taarifa sahihi kutoka kwa wahusika. Sasa hili la siku moja ya mapumziko lina tija kweli?
View attachment 2327308
SERIKALI YETU NI SIKIVU, ISITAKE KUIGOMBANISHA NA WANANCHI.
Uamuzi umefanywa bila kifikiri kwa sababu viongozi wetu wanaendeshwa na wananchi. Sensa haiwezi kifanyika kwa siku moja itachukua wiki moja, sasa hayo mapumziko siku ya kwanza ni kwa ajili ya nini? Swali hili hata waziri mkuu hawezi kujibu.
 
Basi mapumziko yawe ya siku 6. Mie kama sina wa kumuachia taarifa zangu nisiende kazini kisa nasubiria karani wa sensa? Anyway, miaka yote mbona sensa ilikuwa siku 1 na mambo yalikwenda sawa? Labda tatizo la vishikwambi ndio maana kuna wasiwasi. Mara hakuna mtandao, mara kishikwambi kimeishiwa charge. Makarani kazi wanayo, Wallah!
Sensa haijawahi kuwa siku moja, mimi nimewahi kushiriki.
 
Itakuwa ni siku ya kuandaa majawabu sahihi na kuyaacha nyumbani ili hata makarani wakija kwa kuchelewa watayakuta. Usijipe stress za bureeeeee!
Mbona maswali hawajatupatia? Unaandaa majibu kwa maswali ya kujitungia au? Wasubiri kupokea madudu badala ya majibu sahihi. Mie nisisafiri kwa shughuli zangu kisa sensa? Acheni hizo!
 
Kweli makarani kazi wanayo so utani
Basi mapumziko yawe ya siku 6. Mie kama sina wa kumuachia taarifa zangu nisiende kazini kisa nasubiria karani wa sensa? Anyway, miaka yote mbona sensa ilikuwa siku 1 na mambo yalikwenda sawa? Labda tatizo la vishikwambi ndio maana kuna wasiwasi. Mara hakuna mtandao, mara kishikwambi kimeishiwa charge. Makarani kazi wanayo, Wallah!
 
Kwa mtazamo wangu nadhani maamuzi mengine yanahitaji fikra yakinifu na si msumumo wa wadau. Ikiwa wametangaza siku ya sensa kuwa siku ya mapumziko, na kwa nijuavyo si rahisi karani kuzifikia kaya zote kwa siku moja.

Labda kama mapumziko hayo yangekuwa ya wiki nzima. Ama sivyo, watumishi wangepewa siku moja maalum ya kupumzika kwa kuwasiliana na karani au mwenyekiti wa eneo lake kwa siku ambayo karani atafika kwenye kaya yake.

Maana lengo kuu ni kupata taarifa sahihi kutoka kwa wahusika. Sasa hili la siku moja ya mapumziko lina tija kweli?
View attachment 2327308
Mimi nitasubiri mwisho saa 6 kamili mchana .
 
Mkuu ukishindwa kuhesabiwa siku ya tarehe 23 haina maana kwamba hutohesabiwa, sensa kitaifa ni tarehe 23 lakini itaendelea hadi tarehe 28 kwahiyo kuna siku 6 za sensa mkuu


Jiandae kuhesabiwa, sensa kwa maendeleo
 
Hilo zoezi la sensa litaendelea kwa siku sita kulingana na nilivyosikia mwanzo, na kila siku hapo karani wa sensa atakuwa na majukumu tofauti, kuna kujua hesabu ya watu waliolala kwenye kaya husika, kujua idadi na wazee, vijana, wanawake, watoto, na wanaume, n.k

Naona kama wamelirefusha hilo zoezi makusudi ili angalau makarani wa sensa wawe busy, ili watakapokuja kulipwa, ionekane kweli walikuwa kazini.

Otherwise hilo zoezi naona lingeweza kuchukua hata siku moja likamilike, hii siku moja ya mapumziko kwangu ni kama siku ya kusherehekea kuanza kwa sensa Tanzania.
Ama kweli Tanzania Kuna mahali tumelogwa.
Hivi Nini maana ya kuwa na wajumbe wa Nyumba kumi, viongozi wa Serikali za mtaa, si wanawakua watu wao wangekianzia huko na kukata na ushirikiano wa Nyumba Kwa Nyumba nadhani siku hiyo moja ingetoa majibu! Hii ya siku sita ni kujidanganya na kutaka kulamba Asali.
 
Kwa mtazamo wangu nadhani maamuzi mengine yanahitaji fikra yakinifu na si msumumo wa wadau. Ikiwa wametangaza siku ya sensa kuwa siku ya mapumziko, na kwa nijuavyo si rahisi karani kuzifikia kaya zote kwa siku moja.

Labda kama mapumziko hayo yangekuwa ya wiki nzima. Ama sivyo, watumishi wangepewa siku moja maalum ya kupumzika kwa kuwasiliana na karani au mwenyekiti wa eneo lake kwa siku ambayo karani atafika kwenye kaya yake.

Maana lengo kuu ni kupata taarifa sahihi kutoka kwa wahusika. Sasa hili la siku moja ya mapumziko lina tija kweli?
View attachment 2327308
Sensa za kibongo hizi danganya fei zisikuumize kichwa

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu nadhani maamuzi mengine yanahitaji fikra yakinifu na si msumumo wa wadau. Ikiwa wametangaza siku ya sensa kuwa siku ya mapumziko, na kwa nijuavyo si rahisi karani kuzifikia kaya zote kwa siku moja.

Labda kama mapumziko hayo yangekuwa ya wiki nzima. Ama sivyo, watumishi wangepewa siku moja maalum ya kupumzika kwa kuwasiliana na karani au mwenyekiti wa eneo lake kwa siku ambayo karani atafika kwenye kaya yake.

Maana lengo kuu ni kupata taarifa sahihi kutoka kwa wahusika. Sasa hili la siku moja ya mapumziko lina tija kweli?
View attachment 2327308
Mapumziko ya nn hayo.
 
Kwahiyo tuongeze siku ngapi ili karani aweze kufikia kaya zote? Kuongoza nchi kazi jamani tusichukulie poapoa..
 
Back
Top Bottom