Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Ni ya kidigitali ina mfumo maalum.Hapana. Sikuhitaji kabisa.
Hiyo kazi si lelemama japo unapata kipato. Yaani jua lako, mvua yako. Unapandisha milima na mabonde. Unafika mahali unagonga hodi kwa nyumba ya watu...
Hakuna mfumo unaochukua taarifa bila kuwa na mtu wa kuingiza..
Yaani taarifa zitoke tu mtaani ziense NBS, khaaa haiwezekani.