ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habarini wana JF,
Leo nimekaa nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi ambayo nimependa kushare nanyi.
Je, roho itakapotoka tutakua na hisia kua tumeshafariki?
Tutaweza kuona matukio yanayoendelea hali ya kua macho yameshafumba?
Vipi kuhusu vilio vya wapendwa wetu tutaweza kuvisikia?
Leo nimekaa nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi ambayo nimependa kushare nanyi.
Je, roho itakapotoka tutakua na hisia kua tumeshafariki?
Tutaweza kuona matukio yanayoendelea hali ya kua macho yameshafumba?
Vipi kuhusu vilio vya wapendwa wetu tutaweza kuvisikia?