Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uchaguzi au uchafuzi?!
!
Uchumi Sio Kipaumbele Kwa Sasa... Kwanza Tufanye Uchafuzi Kwenye Selikali Za Mitaa.
Rungu la wafadhili wetu linaandaliwa kwa kumfukuza siieijii kabla ya muda wakeNyoosha maelezo mkuu
wacha mataifa ya kibeberu waje wamchukue wamwajiri huko kamwa yule aliyetuzushia tuna ugonjwa wa zika alipoondolewa tu na ugonjwa ukaisha du hapa bongo kuna sarakasi za kila ainaZidumu juhudi za awamu ya tano kwa kumuondoa CAG mchapakazi anaekubalika kimataifa
Umeulizwa hamfahamiani? Mleta mada kijani kama ww then lawama unawatupia bavicha, zinakutosha kweli? Au jana hukulipwa 7000 basi umepanic!!Kwa hiyo unanipangia jinsi ya kutoaawazo yangu?
Labda mchemchele.Sio mboga mboga,Ivi nyie lumumba fc hamna utaratibu wa kufahamiana ama vile vichwa vya panzi mnasahau haraka
mtoa bandiko ni mboga mboga mwenzio,sema yeye akili imerudi kdg ndo maana unaona anaongea mambo ya msingi.
hata ww ikikurudia atakuja kukushangaa pia.
nyie mataga mnazngua sn hivi ni lini TANZANIA ishawai kua great??Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.
Make Tanzania great again..
nyie mataga mnazngua sn hivi ni lini TANZANIA ishawai kua great??
eti make Tanzania great again fool!!!
Zidumu juhudi za awamu ya tano kwa kumuondoa CAG mchapakazi anaekubalika kimataifa