Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Umefaidika nini toka ulipoanza kuipenda serikali unayodai ya kwako
 
Hongera sana sirikali ya awamu ya 5 kwa kutuletea kichere hakika ripoti ijayo itaifurahisha sana sirikali ile iliyopita haikuwa nzuri upande wa sirikali maana ilionekana kukwapuliwa 1.5T na 900b kukwapuliwa na jumba jeupe magogoni.
 
Zidumu juhudi za awamu ya tano kwa kumuondoa CAG mchapakazi anaekubalika kimataifa
wacha mataifa ya kibeberu waje wamchukue wamwajiri huko kamwa yule aliyetuzushia tuna ugonjwa wa zika alipoondolewa tu na ugonjwa ukaisha du hapa bongo kuna sarakasi za kila aina
 
Umeitetea nchi, laiti watu wangeshauri vizuri maana hili uliloliona lipo njiani laja
 
Ivi nyie lumumba fc hamna utaratibu wa kufahamiana ama vile vichwa vya panzi mnasahau haraka

mtoa bandiko ni mboga mboga mwenzio,sema yeye akili imerudi kdg ndo maana unaona anaongea mambo ya msingi.

hata ww ikikurudia atakuja kukushangaa pia.
Labda mchemchele.Sio mboga mboga,
 
Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.

Make Tanzania great again..
nyie mataga mnazngua sn hivi ni lini TANZANIA ishawai kua great??

eti make Tanzania great again fool!!!
 
CCM walishampa kibali yule mshamba kilaza mbumbumbu cyprian Musiba awaite mabeberu, wanajua kuwa CCM wakienda kuwaomba omba misaada huwaita wafadhili lakini wakipewa misaada na hao hao wafadhili wakataka kujua matumizi sahihi ya misaada yao huwageuka na kuwaitwa mabeberu, kupitia hizo kejeri za CCM wafadhili wengi hawana moyo na utawala wa awamu ya tano uliosheheni Udikiteta mwingi.
 
nyie mataga mnazngua sn hivi ni lini TANZANIA ishawai kua great??

eti make Tanzania great again fool!!!

Chini ya CCM ni vigumu Tanzania kupata maendeleo kwani CCM ni ile ile ya chukua chako mapema hakuna uzalendo kila mmoja anatumia fursa zake kupiga, Mfano sasa wanatumia mikwara kutisha watu huku wakipiga sana kisha kuzuga zuga kuwa ni wazalendo, matumizi mabaya ya Neno uzalendo yapo CCM.
 
Waje tu hao mabeberu walichukue jiwe hili maana limekuwa kero,tutaliweka hata katikati ya magunia ya korosho,meli ikija Wabebe,watajuaga mbele kwa mbele walifanyie nini.
 
Back
Top Bottom