Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhuni tu yule alizusha sasa ilikuwaje alipotumbuliwa na ugonjwa ukaisha nchini muwe mnfikiria kwa kutumia akili siyo makalioUna uhakika kuwa allizusha tuna ugonjwa wa ZIKA?
Elimu
Elimu
Elimu
Umasikini
Umasikini
Umasikini
Roho mbaya
Roho mbaya
Roho mbaya
sisi tumesimama wenyewe ila nyie mnaowanyeyekea ndiyo mpaka mnakuwa mabalozi wa ushoga kama mwenzenu tundu hlisu huko aliko ni balizo wa mashogaMkuu jaribu kuepuka huu msamiati wa beberu! Mtu anayekununulia hadi nguo ya ndani utamwitaje beberu?? Karne ya 21 inatupasa tuwaite baba maana tumeshindwa kusimama wenyewe!
Deni limefika trilioni 52Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.
Make Tanzania great again..
Mkuu we are in the right track! Tunafanya maendeleo kwa pesa yetu "wenyewe" Hahahaa deni la taifa 51 T.sisi tumesimama wenyewe ila nyie mnaowanyeyekea ndiyo mpaka mnakuwa mabalozi wa ushoga kama mwenzenu tundu hlisu huko aliko ni balizo wa mashoga
Narudia tena naomba unielewe nakama unielewi basi nawewe anzia alipo ishia Ben alafu urud kupost. Short and clear unapo simama nakusema vyeti vya Rais ni fake my dear unamgusa nyoka mwenye sumu kali na mm kamwe sishangai ukipotea. Democrasia ina kikomo pia hata Marekan leo yule mtoa ushahid wamazungumzo ya Rais amebadilisha sentence nenda kamuulize nn kimemkuta. Wakati mwingine tujiongeze haya nimaswala mazito na mm nilisema kwa sababu ninaufaham mkubwa ktk maswala ya usalama japo sio mmoja wao ila natoa tahadhari. Mbona kuna post humu zinafutwa natuna kaa kimya some time kujiongeza acha ujinga
Hakuna magu akiona watu wa aina hii waliokuwa brain washed anachekaa! Ni furaha sana kugeuza kundi la watu kuwa misukule wakati wewe mwenyewe ni kilaza!mhuni tu yule alizusha sasa ilikuwaje alipotumbuliwa na ugonjwa ukaisha nchini muwe mnfikiria kwa kutumia akili siyo makalio
kumbe????????Hakuna magu akiona watu wa aina hii waliokuwa brain washed anachekaa! Ni furaha sana kugeuza kundi la watu kuwa misukule wakati wewe mwenyewe ni kilaza!
Mkuu bado uchumi wetu haujakuwa kiasi cha kutohitaji uhusiano mzuri na nchi tajiri(sipendi kuwaita wahisani kwa sasa).Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.
Make Tanzania great again..
Habari ya Tanga
Mimi ni mjinga but sina damu ya mtu mikononi!!! Maisha/uhai haufananishwi na kitu chochote!!!!Narudia tena naomba unielewe nakama unielewi basi nawewe anzia alipo ishia Ben alafu urud kupost. Short and clear unapo simama nakusema vyeti vya Rais ni fake my dear unamgusa nyoka mwenye sumu kali na mm kamwe sishangai ukipotea. Democrasia ina kikomo pia hata Marekan leo yule mtoa ushahid wamazungumzo ya Rais amebadilisha sentence nenda kamuulize nn kimemkuta. Wakati mwingine tujiongeze haya nimaswala mazito na mm nilisema kwa sababu ninaufaham mkubwa ktk maswala ya usalama japo sio mmoja wao ila natoa tahadhari. Mbona kuna post humu zinafutwa natuna kaa kimya some time kujiongeza acha ujinga
Hatuwezi kumwelewa!! Labda na yeye ajiueHakujua kuwa yatakuwa haya; ameshatubu.