Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Una uhakika kuwa allizusha tuna ugonjwa wa ZIKA?
Elimu
Elimu
Elimu
Umasikini
Umasikini
Umasikini
Roho mbaya
Roho mbaya
Roho mbaya
mhuni tu yule alizusha sasa ilikuwaje alipotumbuliwa na ugonjwa ukaisha nchini muwe mnfikiria kwa kutumia akili siyo makalio
 
Mkuu jaribu kuepuka huu msamiati wa beberu! Mtu anayekununulia hadi nguo ya ndani utamwitaje beberu?? Karne ya 21 inatupasa tuwaite baba maana tumeshindwa kusimama wenyewe!
sisi tumesimama wenyewe ila nyie mnaowanyeyekea ndiyo mpaka mnakuwa mabalozi wa ushoga kama mwenzenu tundu hlisu huko aliko ni balizo wa mashoga
 
Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.

Make Tanzania great again..
Deni limefika trilioni 52
 
Narudia tena naomba unielewe nakama unielewi basi nawewe anzia alipo ishia Ben alafu urud kupost. Short and clear unapo simama nakusema vyeti vya Rais ni fake my dear unamgusa nyoka mwenye sumu kali na mm kamwe sishangai ukipotea. Democrasia ina kikomo pia hata Marekan leo yule mtoa ushahid wamazungumzo ya Rais amebadilisha sentence nenda kamuulize nn kimemkuta. Wakati mwingine tujiongeze haya nimaswala mazito na mm nilisema kwa sababu ninaufaham mkubwa ktk maswala ya usalama japo sio mmoja wao ila natoa tahadhari. Mbona kuna post humu zinafutwa natuna kaa kimya some time kujiongeza acha ujinga

Kwa maoni yangu haya madai kuhusu vyeti vya rais yawe na ukweli yasiwe na ukweli hayakupaswa kuwa kitu cha kusumbua nchi yetu. Rais ni binadamu tena mwanasiasa ambaye husemwa na kukosolewa kila siku, hasa na wanasiasa wenzake. Nchi ambayo viongozi wake hutumia madaraka yao kunyamazisha raia na wanasiasa itakuwa na matatizo makubwa sana. Kwani rais wetu tulimchagua kutokana na Ph.D? Kwanini tuhofie Ph.D ya rais ikikosolewa. Kwambà system nzima ilitaharuki na kuamua kuwa Ben anyamaxishwe means only one thing: he was dead sure of what he was speaking.
 
mhuni tu yule alizusha sasa ilikuwaje alipotumbuliwa na ugonjwa ukaisha nchini muwe mnfikiria kwa kutumia akili siyo makalio
Hakuna magu akiona watu wa aina hii waliokuwa brain washed anachekaa! Ni furaha sana kugeuza kundi la watu kuwa misukule wakati wewe mwenyewe ni kilaza!
 
Hakuna magu akiona watu wa aina hii waliokuwa brain washed anachekaa! Ni furaha sana kugeuza kundi la watu kuwa misukule wakati wewe mwenyewe ni kilaza!
kumbe????????
 
Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.

Make Tanzania great again..
Mkuu bado uchumi wetu haujakuwa kiasi cha kutohitaji uhusiano mzuri na nchi tajiri(sipendi kuwaita wahisani kwa sasa).
Tunahitaji kuingiza teknolojia kwetu na kupata ushirikiano wa masoko kwa maana ya masako yenye mashariti nafuu.

Hao jamaa ukigombana nao na kuachana nao moja kwa moja nakuambia hayo madini tunayo jivunia hatuta uza nje ya nchi.
Tutaishia kuweka mapambo kwenye nyumba zetu na kwenye mabanda ya mifugo.

Wakikuzia hao jamaa ndio inaibuka misamiati kama "Blood Diamond" kama ya kule Sierra Leone.
Sisi tutakuwa na "Blood Tanzanite", "Blood Gold", n.k.
 
Narudia tena naomba unielewe nakama unielewi basi nawewe anzia alipo ishia Ben alafu urud kupost. Short and clear unapo simama nakusema vyeti vya Rais ni fake my dear unamgusa nyoka mwenye sumu kali na mm kamwe sishangai ukipotea. Democrasia ina kikomo pia hata Marekan leo yule mtoa ushahid wamazungumzo ya Rais amebadilisha sentence nenda kamuulize nn kimemkuta. Wakati mwingine tujiongeze haya nimaswala mazito na mm nilisema kwa sababu ninaufaham mkubwa ktk maswala ya usalama japo sio mmoja wao ila natoa tahadhari. Mbona kuna post humu zinafutwa natuna kaa kimya some time kujiongeza acha ujinga
Mimi ni mjinga but sina damu ya mtu mikononi!!! Maisha/uhai haufananishwi na kitu chochote!!!!

Mtatubu nyote!!! Naona taratibu unaanza kuona
 
Ndio maana napata shida sasa kujua akili za Viongozi wetu,sasa hivi wanapiga kelele kwamba vikwazo walivyoekewa Zimbabwe viondolewe lakin tazama kwa makin vilikujaje?na wakati vinaweka Mugabe alikuwa anavichukuliaje?shida ni kwamba Serikali za kiafrika hazina uchungu na wanachi wake
 
Mawazo ya kipuuzi na ya kitumwa kabisa haya,eti wafadhili wakigundua kaonewa. Kwanza kama kaonewa ni mtizamo wako,ambao sio sahihi.Prof.Assad hajaonewa ana makosa ya kiutumishi.

And than kwani wafadhili ni akina nani,wao ni Mungu kwamba wakiamua leo tulale njaa au tufe tunakufa?Watanzania bwana duh,mawazo ya kitumwa kabisa haya,kama ya ndugu zangu wa makao makuu vilee.Mkue jamani muwe na mawazo independent,mtaabudu wanadamu wenzenu mpaka lini?
 
Back
Top Bottom