Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

TumainiEl,
Leo umeona umuhimu wa kufuata katiba , Je yale mauaji ya Lissu ambayo wewe ulikuwa mstari wa mbele wa kuyashabikia yalifuata ibara ya ngapi ya katiba ?
 
Mie ninaongozwa na fikra huru mkuu
Sio kama mazombi uchaguzi hakuna wapo bize na CAG,likiisha watarudi kwenye serikali za mitaa, mbowe haguswi,huko ndio kutukuza
2202094_Screenshot_2019-11-03-12-57-23.png
 
Mimi napenda uchumi uharibike ili tupate akili.
CAG aliyeondolewa keshaondoka Tz
 
Una uhakika kuwa allizusha tuna ugonjwa wa ZIKA?
Elimu
Elimu
Elimu
Umasikini
Umasikini
Umasikini
Roho mbaya
Roho mbaya
Roho mbaya
wacha mataifa ya kibeberu waje wamchukue wamwajiri huko kamwa yule aliyetuzushia tuna ugonjwa wa zika alipoondolewa tu na ugonjwa ukaisha du hapa bongo kuna sarakasi za kila aina
 
Acha ujinga ww, kuna maendeleo gani nchi hii ya kufanya tuwe threat kwa nchi zilizoendelea? Ni kwamba tunatengeneza mabomu ya nyuklia, au ni hayo maturuma ya reli tunayonunua kwao ndio tuwe threat? Ww lazima utakuwa ni mzee ndio maana unaweza kulishwa propaganda za kizee.
Sawa kijana, ila mimi sio mjinga kama unavyofikiria. Naheshimu kile unachoamini wewe sababu una haki ya kuwa na maoni yako. Japo hatukubaliani siwezi kuwa na jazba kwa maoni yako au kukuona mjinga kabla sijajua ukweli wa kile unachokijua na kukiamini
Tanzania ni yetu sote
 
Na lengo hasa la mheshimiwa rais ni hilo.
Kututowa kwenye kuwa tegemezi[emoji1241][emoji818]
Kwa kasi ya maendeleo yanayofanywa na Serekali ya JPM, Mabeberu wamechelewa sana! Kwa sasa hata Mabeberu wakituwekea vikwazo vya uchumi, kwa rasilimali tulizonazo TZ sisi hivi sasa tunaweze kuwa Donor Country.
 
Sawa kijana, ila mimi sio mjinga kama unavyofikiria. Naheshimu kile unachoamini wewe sababu una haki ya kuwa na maoni yako. Japo hatukubaliani siwezi kuwa na jazba kwa maoni yako au kukuona mjinga kabla sijajua ukweli wa kile unachokijua na kukiamini
Tanzania ni yetu sote

Don't be naive pls.
 
Acha ujinga wewe , tunajenga SGR, tunajenga Stieggler's, tumenunua madege, tunajenga mabarabara, tunajenga mahospitali kwa fedha zetu wenyewe... Hao mabeberu watupishe tunamadini na kilakitu wanatuogopa tunavyopanda kwa kasi na muda sio mrefu tutakuwa donor country.

Make Tanzania great again..
we jamaa ndio fala kweli,hizo cash za kununua ndege,na SGR hazifiki hat tilioni 2,hiv unajua bajet yetu ina utegemezi wa pesa ngapi toka kwa wafadhiri? wafuasi wa "Hadija Mwenda" mna tabu sana
 
Na lengo hasa la mheshimiwa rais ni hilo.
Kututowa kwenye kuwa tegemezi[emoji1241][emoji818]

Uwezo huo hana, anaweza kuongea na kutamani hilo, lakini uwezo wa kututoa huko hana. Atatuoa kwenye kuwa tegemezi huku akipika data?
 
TumainiEl,
Elewa tu kuwa CAG ni cheo siyo mtu. Mtu anaweza kuondoka kwa sababu mbalimbali ikiwemo "natural" pia naweza kupumzishwa kwa maslah yake ama ya Taifa. Donnors community ni kinyonga, unaweza muona huyu Asad ni bora kumbe donnor community haimtaki for so many reasons. Tukubali mabadiliko
 
Nashangaa deni la taifa linakua kwa kasi sana. Kwa mwaka 1 tu Tril 3 afu mtu anasema kuwa anatumia hela za ndani mara TRA wanakusanya ngapi na ngapi
 
Huu ni wakati tunaotakiwa kumshukuru Mungu kwa yanayoendelea nchini sasa, rais hawezi kuuambia umma kila sababu ya maamuzi anayofanya ila watanzania tufike mahala tuelewe kuwa maendeleo yetu ni threat kwa nchi zilizoendelea
Hivi nyie watu akili zenu mnaziachaga chooni? kuna maendeleo gan ya kufanya tuwe thread kwa nchi zinazoendelea? au hilo daraja la TZR na Ubo? 😬
 
We si ulitamba kumpoteza Ben8?!?

Kuua sio Kuvunja katiba?!?
Narudia tena naomba unielewe nakama unielewi basi nawewe anzia alipo ishia Ben alafu urud kupost. Short and clear unapo simama nakusema vyeti vya Rais ni fake my dear unamgusa nyoka mwenye sumu kali na mm kamwe sishangai ukipotea. Democrasia ina kikomo pia hata Marekan leo yule mtoa ushahid wamazungumzo ya Rais amebadilisha sentence nenda kamuulize nn kimemkuta. Wakati mwingine tujiongeze haya nimaswala mazito na mm nilisema kwa sababu ninaufaham mkubwa ktk maswala ya usalama japo sio mmoja wao ila natoa tahadhari. Mbona kuna post humu zinafutwa natuna kaa kimya some time kujiongeza acha ujinga
 
Bavicha mnahangaika bure
Yaani mabeberu waache Nazi zao washughulike na ajira ya MTU mmoja tu aliemaliza take kwa heshima?
Unaandika ulichokaririshwa bila kujali unaandika kwenye nini, Pumbaf!
Mleta mada angekuwa BAVICHA angeshiriki kumpoteza Ben8? Au kwa vile Leo kaamka na roho wa bwana na kusema ukweli ndio unamuona Bavicha? Kwa hiyo Bavicha na Ukweli ni vitu vinashabikiana?
Bado wewe kuuona wakovu na kumkana magu na chama chenu cha majambawazi!
 
Well kuna mambo ni siri lakini ni lazima sote tumuombe Mungu atuepushe na jinamizi la kuharibika uchumi wetu maana uchumi ukiparaganyika ni vigumu sana kuujenga kwa mara moja.

Mkuu wangu heshima iwe nawe
kwakweli sisi tuliopo huku chini na tumejaliwa kusoma japo kidogo nadhani tunaungana na wewe katika haya mawazo yako.
Wengi tunahangaikia kukamilisha ndoto zetu.. sasa japo hatuja zikamilisha kwa kiwango tarajiwa but kwa jinsi tulivyo kuwa tumefikia kumuelewa huyu bwana mkubwa tunaenda vyema na tuna hope.
Sasa ikitokea beberu akakata kamba tuta kwama zaidi.
Muhimu wa Tanzania tukawa kitu kimoja katika kujenga nchi yetu no matter what. Pale mkuu wa nchi anapojitahidi kusaidia sisi tuliowanyonge basi tumpe support na kujitoa kwa ajiri yake.
 
Back
Top Bottom