Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

Ikiwa wafadhili watagundua CAG alionewa, basi tusali

haya ntashirikiana nawe kukiri kuwa tunatawaliwa na wazungu.

Yes ni wajibu wetu kuwaogopa, kuwasujudu na kila tunachokifanya lazima tuzingatie furaha na maslahi yao kwanza.

Rungu la wafadhili wetu linaandaliwa kwa kumfukuza siieijii kabla ya muda wake
 
Usituzuge hapa,
Lissu na nyalandu ndio kazi wanayoifanya huko sasa hivi.
Kuzunguka kuziomba jumuia za kimataifa kuinyima nchi hii misaada.
 
Yanatoka katika kuwauzia dhahabu,korosho,chai,kahawa,pamba,kuwapa fedha na ajira katika utalii,mikopo yao ya muda mrefu,misaada n.k
Kuna wakati inabidi tujiulize haya mahaba kati ya nchi zinazoendelea na sisi yanatoka wapi? Mungu amlinde rais wetu
 
Kuna watu wanataka tuishi kwenye nchi yetu kama wakimbizi. sasa nini maana ya Uhuru kama Rais wa nchi hana uwezo wa kuteua watendaji wake kwa woga wa Taifa jingine? Hili ni jambo la ajabu kabisa, halijawahi tokea hapa duniani.
 
TumainiEl,
Kwa kasi ya maendeleo yanayofanywa na Serekali ya JPM, Mabeberu wamechelewa sana! Kwa sasa hata Mabeberu wakituwekea vikwazo vya uchumi, kwa rasilimali tulizonazo TZ sisi hivi sasa tunaweze kuwa Donor Country.
 
Kumbe muda wa mkataba ukiisha na usipoongezewa ni kuonea!!
 
Yanatoka katika kuwauzia dhahabu,korosho,chai,kahawa,pamba,kuwapa fedha na ajira katika utalii,mikopo yao ya muda mrefu,misaada n.k
Huu ni wakati tunaotakiwa kumshukuru Mungu kwa yanayoendelea nchini sasa, rais hawezi kuuambia umma kila sababu ya maamuzi anayofanya ila watanzania tufike mahala tuelewe kuwa maendeleo yetu ni threat kwa nchi zilizoendelea
 
Bavicha mnahangaika bure
Yaani mabeberu waache Nazi zao washughulike na ajira ya MTU mmoja tu aliemaliza take kwa heshima?
Mabeberu wasihangaike na kukuza uchumi wa mataifa yao waje kuhangaika na siasa zetu za ndani.
 
Mie ninaongozwa na fikra huru mkuu
Sio kama mazombi uchaguzi hakuna wapo bize na CAG,likiisha watarudi kwenye serikali za mitaa, mbowe haguswi,huko ndio kutukuza

Utakuwa ni mwendawazimu wa kiwango cha juu, wakati hao wengine wakijadili kumuhusu CAG, kisha uchaguzi ww huwa unajadili nini na kina nani? Maana wote tuko kwenye nyuzi hizi hizi. Tuonyeshe uzi wako mliojazana mkijadili viwanda au kupeleka vyombo anga za mbali.
 
Huu ni wakati tunaotakiwa kumshukuru Mungu kwa yanayoendelea nchini sasa, rais hawezi kuuambia umma kila sababu ya maamuzi anayofanya ila watanzania tufike mahala tuelewe kuwa maendeleo yetu ni threat kwa nchi zilizoendelea

Acha ujinga ww, kuna maendeleo gani nchi hii ya kufanya tuwe threat kwa nchi zilizoendelea? Ni kwamba tunatengeneza mabomu ya nyuklia, au ni hayo maturuma ya reli tunayonunua kwao ndio tuwe threat? Ww lazima utakuwa ni mzee ndio maana unaweza kulishwa propaganda za kizee.
 
Bavicha mnahangaika bure
Yaani mabeberu waache Nazi zao washughulike na ajira ya MTU mmoja tu aliemaliza take kwa heshima?
Wewe bashite ni I'd zako zote robot inaingia woga wewe na mwanao Chupa mutafute pa kwenda
 
.
EIqXvcHXYAAxJXV.jpg
 
Back
Top Bottom