Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Rungu la wafadhili wetu linaandaliwa kwa kumfukuza siieijii kabla ya muda wake
Kuna wakati inabidi tujiulize haya mahaba kati ya nchi zinazoendelea na sisi yanatoka wapi? Mungu amlinde rais wetu
Huu ni wakati tunaotakiwa kumshukuru Mungu kwa yanayoendelea nchini sasa, rais hawezi kuuambia umma kila sababu ya maamuzi anayofanya ila watanzania tufike mahala tuelewe kuwa maendeleo yetu ni threat kwa nchi zilizoendeleaYanatoka katika kuwauzia dhahabu,korosho,chai,kahawa,pamba,kuwapa fedha na ajira katika utalii,mikopo yao ya muda mrefu,misaada n.k
Mabeberu wasihangaike na kukuza uchumi wa mataifa yao waje kuhangaika na siasa zetu za ndani.Bavicha mnahangaika bure
Yaani mabeberu waache Nazi zao washughulike na ajira ya MTU mmoja tu aliemaliza take kwa heshima?
Mie ninaongozwa na fikra huru mkuu
Sio kama mazombi uchaguzi hakuna wapo bize na CAG,likiisha watarudi kwenye serikali za mitaa, mbowe haguswi,huko ndio kutukuza
We si ulitamba kumpoteza Ben8?!?
Kuua sio Kuvunja katiba?!?
Huu ni wakati tunaotakiwa kumshukuru Mungu kwa yanayoendelea nchini sasa, rais hawezi kuuambia umma kila sababu ya maamuzi anayofanya ila watanzania tufike mahala tuelewe kuwa maendeleo yetu ni threat kwa nchi zilizoendelea
Wewe bashite ni I'd zako zote robot inaingia woga wewe na mwanao Chupa mutafute pa kwendaBavicha mnahangaika bure
Yaani mabeberu waache Nazi zao washughulike na ajira ya MTU mmoja tu aliemaliza take kwa heshima?
Huyo ni bashite anajulikana muuaji wa Ben saa naneBAVICHA utawajua tu kwa uandishi wao