Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

Je pia ndio atakuwa mwenyekiti wa chama?
 
Naunga mkono huu mjadala,ila muda utaongea vizuri
 
Hoja ni nini? Ni udhaifu wa mwenza? au ni kuhisi hatoweza kuwa na imani kwa wananchi kwakuwa hawakumchagua kuwa rais moja kwa moja? Jibu la maswali yote hayo ni TUJIFUNZE KUPITIA HILI!
 
Kunaweza wekwa hata utaratibu mwingine wa bunge kuprndekeza jina la mrithi anaweza malizia miaka iliyosalia!
Lakini hiyo ya automatic kuwa makamu awe rais ni hatari mno
Ainisha/taja hizo hatari p'se.
 
Watu hatumuamini hatuna imani naye kwenye kiti cha urais. Ataweza pambana na mafisadi??
 
Maoni yapo tayali, na samia alikuwa mjumbe wa bunge la katiba! Hakuna kinachoshindikana
[emoji23] [emoji23] Unaweza kukuta hana hata habari kwamba kuna rasimu ya katiba ya jaji Warioba...
 
Wasiwasi wako nimzuri sana.hata Mimi hofu yangu unaweza kuta ndani yamwaka tena tunamwapisha makamu mwingine.
 
Naunga mkono hoja. Ni kama ukiandika wosia halafu ukawa umemwachia mali zote mkeo halafu akauona wosia wenyewe.........Katiba mpya ni suluhisho la mambo mengi, akipatikana wa kuimalizia atajenga msingi mzuri sana kwa Nchi hii.
 
Naunga mkono hoja. Ni kama ukiandika wosia halafu ukawa umemwachia mali zote mkeo halafu akauona wosia wenyewe.........Katiba mpya ni suluhisho la mambo mengi, akipatikana wa kuimalizia atajenga msingi mzuri sana kwa Nchi hii.
Kabisa mkuu
 
Good idea
 
Lyndon Johnson ndiye rais wa Marekani wa mwisho kukalia kiti awamu ya 36 toka mwaka 1963 baada ya kuwa makamu wa rais. Je, nini kilifanyika mpaka leo, hakuna "died in office", tukajifunze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…