Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kwenye 23 kuwepo 3 isn't fair,haijawahi kutokea toka uhuru
Acheni inferiority complex Wazee. Hivi jina kuwa la kikristo linamfanya mtu kuwa Mkiristo? By the way, Serikali haina dini. Mtu yeyote anaweza kuwa Waziri bila kujali ana dini au hana.
 
Wizara ya habari na wizara ya teknolojia ya habari mbona ni kitu kilekile au mi ndio sjaelewa
 
Baraza limekamilika? Tuone sasa wale waliokua wanapishana Insta kutuonesha utekelezaji wa miradi ya maendeleo majimboni kwao tangu wameapishwa kama wataendelea
 
Naomba kujua huyu Kwandikwa Waziri wa Ulinzi ana CV gani kwenye jeshi au mambo ya Usalama au katoka uko kama alivyokuwa Hussein Mwinyi, Daktari wa Mifupa kisha Waziri wa Ulinzi.
 
Katika mawaziri wote na manaibu wao waislamu ni takriban 3% tu. Na ukiacha wizara muhimu kama TAMISEMI na fedha hata hao waislamu kidogo wametupwa kama kwenye wizara kama za sanaa, muungano na mazingira!
 
Hiyo namba 9 msimu huu naona sholwe katema mbegu
 
NAIBU WAZIRI

Biashara - Silaoneka

Ardhi - Anjelina
Mabula

Kazi - Patrobas Katambi

Mambo ya ndani - Hamza

Fedha - Mwanaidi

Sayansi - Kipanga

TAMISEMI- Festo john

Nishati - Biabati

Utumishi- Ndejembi

Mawasiliano- Engineer Kundo

Mifugo na Uvuvi- Philipo

Madini - Ndulanye

Ujenzi - kasekenya

Ulemavu - Ummy
Nderiananga

Maji - Prisca Mahundi

Sanaa - Abdalah Ulega

Mazingira - Mwita witara

EAC - William Openshaw

Utalii- Marry Masanja

Tamisemi - Ernest

Kilimo - H Bashe

Afya - Dr Godwin Mollel

Katiba na sheria -Geofrey Mizengo Pinda
 
Katika baraza hili lenye mawaziri 23 kwa haraka haraka
-Wanawake 4 (wanaume 19)
-?Waislamu 2 (?Wakristo 21)
-Mchaga 1 (Wasukuma 5+)
-Mzanzibar 0 (watanganyika 23)
Vipi wangoni, wakurya, wakwere, waha, wahehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…