IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
NCHI ilishayumba kitambo inajikongoja kwa Tumikopo kutoka China na Uarabuni
 
Hivi hatuwezi kama taifa kukubaliana rais Putin atuteke tuwe sehemu ya Urusi?
 
Achana na hao wehu wa CHADEMA,Wajenge kwanza Ofisini,
Ofisi ni Wanachama muangalie Kada mwenzako kavaa mashati 4
1664537002242.jpg
 
Ndio maana foleni ya leo haikuwa ya mchezo nimetika Chamwino asubuhi saa hizi ndio naingia Tabora hoi bin taabani natafuta Parking nilale.

Kwakweli Viongozi wetu wawe wanatuonea huruma na sisi Madereva wa long safari
 
Ndio maana foleni ya leo haikuwa ya mchezo nimetika Chamwino asubuhi saa hizi ndio naingia Tabora hoi bin taabani natafuta Parking nilale.

Kwakweli Viongozi wetu wawe wanatuonea huruma na sisi Madereva wa long safari
Uko Tabora Maeneo gani Mjomba?
 
Waluvyokakamaa kwenye hivyo vitu Utafikiri wakitoka hapo kutakuwa na maajabu
 
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Vikao vya ccm Kamati kuu kufanyika Ikulu....
Mhhhh
Tanzania sihami[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna watu ambao siku zote hawaoni jema lolote linalofanywa na serikali wanalaumu na kukosoa kila kitu, na mara nyingi watu wa aina hii hata kuongoza watu watatu tu hawawezi, yaani mke wake na watoto wake wawili.
 
Kwa nini kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania kinafanyikia Ikulu ?

Je chadema nao wakiwa na kikao cha kamati kuu ya Halmashauri kuu wanaruhusiwa kufanyoa kikao Ikulu?
Je Ikulu ni mali ya nani? Nimeuliza tu.
Kwa sababu Rais wa Nchi ndio huyo huyo Mwenyekiti wa chama chake !! Nadhani Sheria au kanuni za hapo Ikulu zinamruhusu kufanya hivyo !! Nimesema nadhani. !!
 
Back
Top Bottom