Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
wala rushwa wanawapitisha watoa rushwa wa Necunaweza kuthibitisha ulichoandika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala rushwa wanawapitisha watoa rushwa wa Necunaweza kuthibitisha ulichoandika?
Wako serious Sana, kwakweliJamaa wako serious kweli [emoji1]
Ova
Wanapiga kazi kweri kweriWako serious Sana, kwakweli
Viongozi serious wa Siasa wako CCMWanapiga kazi kweri kweri
Ova
Shangaa mh. Raisi anapongeza wizara ya maji kua wanachapa kazi mpk anafurai kwakwel wanachapa kazi kweri kweri!Wanapiga kazi kweri kweri
Ova
NCHI ilishayumba kitambo inajikongoja kwa Tumikopo kutoka China na Uarabuni===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Iyumbe mara mbili?mbona inatumia DRIP kutoka China na uarabuniChapeni kazi viongozi wetu bila ninyi nchi itayumba hii,
Ofisi ni Wanachama muangalie Kada mwenzako kavaa mashati 4Achana na hao wehu wa CHADEMA,Wajenge kwanza Ofisini,
Uko Tabora Maeneo gani Mjomba?Ndio maana foleni ya leo haikuwa ya mchezo nimetika Chamwino asubuhi saa hizi ndio naingia Tabora hoi bin taabani natafuta Parking nilale.
Kwakweli Viongozi wetu wawe wanatuonea huruma na sisi Madereva wa long safari
Vikao vya ccm Kamati kuu kufanyika Ikulu....===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Daaah baba yako pesa aliyokulipia ada ya shule Bora angemhonga hawara...Ikulu ni mali ya Watanzania waliomchagua Rais aliyeko madarakani pamoja na chama chake.
Duh. !!Ofisi ni Wanachama muangalie Kada mwenzako kavaa mashati 4View attachment 2414747
Kwa sababu Rais wa Nchi ndio huyo huyo Mwenyekiti wa chama chake !! Nadhani Sheria au kanuni za hapo Ikulu zinamruhusu kufanya hivyo !! Nimesema nadhani. !!Kwa nini kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania kinafanyikia Ikulu ?
Je chadema nao wakiwa na kikao cha kamati kuu ya Halmashauri kuu wanaruhusiwa kufanyoa kikao Ikulu?
Je Ikulu ni mali ya nani? Nimeuliza tu.