TaiPei
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 572
- 608
Uko sahihi kabisa kwa 100%Kwa sababu Rais wa Nchi ndio huyo huyo Mwenyekiti wa chama chake !! Nadhani Sheria au kanuni za hapo Ikulu zinamruhusu kufanya hivyo !! Nimesema nadhani. !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa kwa 100%Kwa sababu Rais wa Nchi ndio huyo huyo Mwenyekiti wa chama chake !! Nadhani Sheria au kanuni za hapo Ikulu zinamruhusu kufanya hivyo !! Nimesema nadhani. !!
Bora umesema nawewe. Manake nilishachoka mieAchana na hao wehu wa CHADEMA,Wajenge kwanza Ofisini,
Hata hivyo katiba Mpya ni Agenda ya CCM piaHaya KAZI iendelee!
Mkumbuke na mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya KAZI pia!!
"Ajaye asije akaharibu tena, Katiba mpya ni muhimu"
Parking ya Malori barabara ya PugeUko Tabora Maeneo gani Mjomba?
OkParking ya Malori barabara ya Puge
Ikulu ni Jengo la Serikali Vyama Vina Majengo yakeVikao vya chama vinafanyikaje ikulu?? Huu ni uwendawazimu
Mkuu kutokana na legacy ya mwenda zake wenyewe ndani ya nafsi zao wataleta katiba mpya. Maana hawana uhakika na vijana wao wanaojilimbikizia mali kama akiibuja jiwe look a like kuongoza nchi watabaki salama. Paschal alitabiri humu kuwe jiwe ndio atasababisha tupate katiba mpya. Maana matajiri wengi walijikuta behind bars under Economic and financial crimes division court.Haya KAZI iendelee!
Mkumbuke na mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya KAZI pia!!
"Ajaye asije akaharibu tena, Katiba mpya ni muhimu"
Uokolewe kwenye majanga gani?Ujinga mtupu....vikao Kila siku na hakuna la maana.....akili zao zimeishia kwenye vikao badala kuumiza kichwa namna ya kuokoa watu kwenye majanga
Chama ndio kilichounda hio serikaliHairuhusiwi mkutano wa chama kufanyika kwenye jengo la serikali!!
Duuuh! Eti ni..??Hata hivyo katiba Mpya ni Agenda ya CCM pia
Kipindi cha pili awamu ya tano kingekuwa ni kipindi cha patashika nguo kuchanika kwa wale walioihujumu hii Nchi !! Hata wangekuwa ni akina nani !! Nadhani ingekuwa hivyo ! Nimesema Nadhani tu !!Mkuu kutokana na legacy ya mwenda zake wenyewe ndani ya nafsi zao wataleta katiba mpya. Maana hawana uhakika na vijana wao wanaojilimbikizia mali kama akiibuja jiwe look a like kuongoza nchi watabaki salama. Paschal alitabiri humu kuwe jiwe ndio atasababisha tupate katiba mpya. Maana matajiri wengi walijikuta behind bars under Economic and financial crimes division court.
Katika kiumbe amshukuru mungu wake ni mchechu iliba kidogo jiwe angempandisha mahakamani. Asali na arudishe fadhila kwa waliomtetea kwa jiwe asifanye hivyo
Agenda ya Katiba Mpya ni ya CCMDuuuh! Eti ni..??
Tunashukuru kwa taarifa.===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje