IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

Haya KAZI iendelee!

Mkumbuke na mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya KAZI pia!!

"Ajaye asije akaharibu tena, Katiba mpya ni muhimu"
 
Vikao vya chama vinafanyika ikulu 🤔🤔🤔🤔 ukiwatazama hapo utasema ni watu wa maana kumbe 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Haya KAZI iendelee!

Mkumbuke na mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya KAZI pia!!

"Ajaye asije akaharibu tena, Katiba mpya ni muhimu"
Mkuu kutokana na legacy ya mwenda zake wenyewe ndani ya nafsi zao wataleta katiba mpya. Maana hawana uhakika na vijana wao wanaojilimbikizia mali kama akiibuja jiwe look a like kuongoza nchi watabaki salama. Paschal alitabiri humu kuwe jiwe ndio atasababisha tupate katiba mpya. Maana matajiri wengi walijikuta behind bars under Economic and financial crimes division court.
Katika kiumbe amshukuru mungu wake ni mchechu iliba kidogo jiwe angempandisha mahakamani. Asali na arudishe fadhila kwa waliomtetea kwa jiwe asifanye hivyo
 
Nimeanza kurejesha imani yangu...kwa Mama..Mungu azidi kukulinda
 
Mkuu kutokana na legacy ya mwenda zake wenyewe ndani ya nafsi zao wataleta katiba mpya. Maana hawana uhakika na vijana wao wanaojilimbikizia mali kama akiibuja jiwe look a like kuongoza nchi watabaki salama. Paschal alitabiri humu kuwe jiwe ndio atasababisha tupate katiba mpya. Maana matajiri wengi walijikuta behind bars under Economic and financial crimes division court.
Katika kiumbe amshukuru mungu wake ni mchechu iliba kidogo jiwe angempandisha mahakamani. Asali na arudishe fadhila kwa waliomtetea kwa jiwe asifanye hivyo
Kipindi cha pili awamu ya tano kingekuwa ni kipindi cha patashika nguo kuchanika kwa wale walioihujumu hii Nchi !! Hata wangekuwa ni akina nani !! Nadhani ingekuwa hivyo ! Nimesema Nadhani tu !!
 
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Tunashukuru kwa taarifa.

Tunasubiri mrejesho wa kikao hicho.

Kama inahusu uteuzi wagombea wa CCM mikoa na Taifa hakika hakutakuwa na jipya zaidi ya kuimarisha team za mahasimu
 
Back
Top Bottom