IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

IKULU CHAMWINO: Rais Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania

Tunashukuru kwa taarifa.

Tunasubiri mrejesho wa kikao hicho.

Kama inahusu uteuzi wagombea wa CCM mikoa na Taifa hakika hakutakuwa na jipya zaidi ya kuimarisha team za mahasimu
Hapo ndo watakapoanza kuchemka watakapopitisha team ya 2025 halafu mtu mwenyewe hakubaliki na wanachama tayari kukiorganize chama kwa upande wa mkoa inakuwa ni ngumu sana!
 
Hapo ndo watakapoanza kuchemka watakapopitisha team ya 2025 halafu mtu mwenyewe hakubaliki na wanachama tayari kukiorganize chama kwa upande wa mkoa inakuwa ni ngumu sana!
Hela itachotwa ili kuwahonga wanaopiga piga kelele.

Kansa ni ugonjwa mbaya sana
 
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Chama cha Watu hiki
 
IMG-20221112-WA0130.jpg

Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
Kila nikimwona huyu jamaa napata wasiwasi sana na tembo wetu. Msomali na meno ya tembo weka mbali kabisa kama mashariki na magharibi
 
Wewe unakula katiba?
CCM hawataki kusikia katiba mpya kabisa, kweli katiba mpya sio chakula lakini ndio msingi wa mambo yote katiba nchi husika hata hizo sera za uchumi nzuri zitatoka kwenye katiba nzuri, viongozi waadilifu na wawajibikaji watapatikana endapo Sheria mama itakuwa imara. Nimeona hoja kuwa katiba mpya ni hoja ya CCM, mtu aliesoma Cuba ataelewa mmeona hoja ni nzito hamwezi tena kuipinga mnataka muichukue iwe ya kwenu ili mtengeneze katiba yakuwafeva..

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,

View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,

View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,

View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,

#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Safi Sana Mama Samia
 
Back
Top Bottom