Hapo ndo watakapoanza kuchemka watakapopitisha team ya 2025 halafu mtu mwenyewe hakubaliki na wanachama tayari kukiorganize chama kwa upande wa mkoa inakuwa ni ngumu sana!Tunashukuru kwa taarifa.
Tunasubiri mrejesho wa kikao hicho.
Kama inahusu uteuzi wagombea wa CCM mikoa na Taifa hakika hakutakuwa na jipya zaidi ya kuimarisha team za mahasimu
Hela itachotwa ili kuwahonga wanaopiga piga kelele.Hapo ndo watakapoanza kuchemka watakapopitisha team ya 2025 halafu mtu mwenyewe hakubaliki na wanachama tayari kukiorganize chama kwa upande wa mkoa inakuwa ni ngumu sana!
Ngoja Ule Msukule Wa Ccm Uje Unaitwa LucasKama watu vile kumbe__________!
Lucas tangu lini kawa msukule?Ngoja Ule Msukule Wa Ccm Uje Unaitwa Lucas
Chapeni kazi viongozi wetu bila ninyi nchi itayumba hii,
Wako serious Sana, kwakweli
Waluvyokakamaa kwenye hivyo vitu Utafikiri wakitoka hapo kutakuwa na maajabu
Chama cha Watu hiki===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje
Kila nikimwona huyu jamaa napata wasiwasi sana na tembo wetu. Msomali na meno ya tembo weka mbali kabisa kama mashariki na magharibi
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
Nenda Ufipa ndio utaelewa watu wanaliwa kisa nafasiwala rushwa wanawapitisha watoa rushwa wa Nec
Sahihi kabisa aise,Maelekezo yote yanatolewa na Vikao,
Aise hiki Chama ni serious kwelikweliWako serious Sana, kwakweli
Wewe unakula katiba?Haya KAZI iendelee!
Mkumbuke na mchakato wa Katiba Mpya ni sehemu ya KAZI pia!!
"Ajaye asije akaharibu tena, Katiba mpya ni muhimu"
CCM hawataki kusikia katiba mpya kabisa, kweli katiba mpya sio chakula lakini ndio msingi wa mambo yote katiba nchi husika hata hizo sera za uchumi nzuri zitatoka kwenye katiba nzuri, viongozi waadilifu na wawajibikaji watapatikana endapo Sheria mama itakuwa imara. Nimeona hoja kuwa katiba mpya ni hoja ya CCM, mtu aliesoma Cuba ataelewa mmeona hoja ni nzito hamwezi tena kuipinga mnataka muichukue iwe ya kwenu ili mtengeneze katiba yakuwafeva..Wewe unakula katiba?
Safi Sana Mama Samia===
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Leo tarehe 12 Novemba 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
View attachment 2414560
Mama wa Taifa na Jasiri mwongoza njia Ndg Samia Suluhu Hassan akiwa kazini Leo, katika CC ya CCM-tanzania,
View attachment 2414562
Wajumbe makini wa CC ya CCM -tanzania wakiendelea na Kikao Ikulu Leo,bila hawa kuwa makini nchi itayumba,
View attachment 2414578
Katibu Mkuu wa ccm-tanzania Ndg Daniel Chongolo akiteta jambo na Mkt Wake Ndg Samia Suluhu Hassan Ikulu, Chamwino,
View attachment 2414579
Makamu Mkt wa ccm-tanzania Ndg Abdurahman KINANA ambaae pia ndie Mkt wa Maadili akipitia makabrasha katika taarifa ya Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo,
View attachment 2414583
Katibu wa NEC Itikadi &Uenezi wa ccm-taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akifuatilia kwaumakini kikao cha CC na ndiye atakayetujuza nini kitajiri katika Vikao hivi,
#Stay tuned, nadhani mmeona makabrasha hapo juu,Kazi inaendeleaje