Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
My friend hauko squarely kwenye critical mind yako, uko level 1 huwezi nikamata never am level 3Usaliti wake ni kuuliza maswali ambayo wewe huyapendi?, typical swahili mindset.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My friend hauko squarely kwenye critical mind yako, uko level 1 huwezi nikamata never am level 3Usaliti wake ni kuuliza maswali ambayo wewe huyapendi?, typical swahili mindset.
Punguza mbwembwe za kuchanganya lugha njoo na ushahidi wa hicho ulichokisema.My friend hauko squarely kwenye critical mind yako, uko level 1 huwezi nikamata never am level 3
Hivi hayo mabondo ya sangara yanatumika kutengeneza nini
mkuu hakuna kituuu..Wakuu Tate Mkuu, na Tindo, please lets change atitude, ondoa negative pre conceived ideas ya kuamini kama atazungumza lolote la maana, be positive!, listern with forward looking aproach kwa kumsikiliza kwa makini, halafu akiisha maliza ndipo ufanye analysis na kusema kama kuna la maana ama hakuna!. Ukisha anza kuwa na a biased negative perspective, ubongo wako utapoteza objectivity, hiyo bias itakufanya hata azungumze mazuri vipi wewe hutayaona, hutayasikia na kuishia kuona hakuna la maana alilozungumza.
P
Zuhura si chochote kaokotwa tuPunguza mbwembwe za kuchanganya lugha njoo na ushahidi wa hicho ulichokisema.
Dah! Bahati mbaya, it is too late mkuu. Kwa kweli binafsi siwezi kuwasikiliza hao watu. Nimeshakata tamaa kitambo.Wakuu Tate Mkuu, na Tindo, please lets change atitude, ondoa negative pre conceived ideas ya kuamini kama atazungumza lolote la maana, be positive!, listern with forward looking aproach kwa kumsikiliza kwa makini, halafu akiisha maliza ndipo ufanye analysis na kusema kama kuna la maana ama hakuna!. Ukisha anza kuwa na a biased negative perspective, ubongo wako utapoteza objectivity, hiyo bias itakufanya hata azungumze mazuri vipi wewe hutayaona, hutayasikia na kuishia kuona hakuna la maana alilozungumza.
P
Waandishi wengi ni failures, walioba ni bahashaWaandishi wa Habari Tanzania ni wapumbavu.
Hawana maswali ya muhimu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma gang na marehemu wanakomeshwaHajataja mikataba 15 ni ya jambo gani. Ameishia kutaja namba ambayo kila mtu anajua. Je wameona watanzania ni watu wa kujua namba tu na sio aina ya mikataba?
Maelezo marefu uhalisia ni zero kabisaSawa sawa.
Siwezi kupoteza mda wangu kusikiliza uongo, bora nitafute ukweliMkuu Gulwa , why all this negativity, mtu hujasikiliza why unaita rubbish?!.
P
"Comprehensive Strategic Partnership"...What is the story about?
Ni sehemu ya kazi iendelee.Zuhura si chochote kaokotwa tu
Zuhura ni dada mmoja mstaarabu sana ukimuangalia kwa harakaharaka tangu yupo BBCKwanza alishabadilishiwa gari? Maana alikua anatumia mkweche unaotia aibu sana, anyway namkubali sana zuhura ni mchapakazi sana
Siwezi kupoteza mda wangu kusikiliza uongo, bora nitafute ukweli
Wakuu Gulwa na Tate Mkuu,Dah! Bahati mbaya, it is too late mkuu. Kwa kweli binafsi siwezi kuwasikiliza hao watu. Nimeshakata tamaa kitambo.
Unaweza kukaa kusubiria Diamondi aimbe gospel?Wakuu Gulwa na Tate Mkuu,
Then mna a pyschological problem inaitwa apathy, bila wewe kujijua, hivyo hata ukisikiliza redio, au ukiangalia TV, akiingia mtangazaji fulani, unazima redio ama una hama station!. Please be honest, mtu anaongea, hujasikiliza anaongea nini, unaamua huwezi kupoteza muda wako kusikiliza uongo!, bila ya kusikiliza kilichoongelewa, utajuaje ni uongo?.
Kwa vile wewe tayari umeisha mjua fulani ni muongo siku zote anazungumza uongo, the right thing to do ni kwa wewe kumsikiliza kwanza, kama amezungumza tena uongo, na wewe ukweli unaujua, the right thing to do is to listen, kisha na wewe uiambie jamii hata kupitia tuu humu humu jf, kuwa alichozungumza fulani ni uongo, ukweli ni huu, hapo unakuwa umeisaidia jamii kuiambia ukweli na at the same time kumzuia muongo hiyo kuendelea kudanganya in future, baada ya kujua kumbe kuna watu wanaoujua ukweli hivyo kumuumbua uongo wake!.
P