Ikulu, Dar: Mrejesho Ziara ya Rais Samia Nchini China na Misri

Ikulu, Dar: Mrejesho Ziara ya Rais Samia Nchini China na Misri

Wakuu Tate Mkuu, na Tindo, please lets change atitude, ondoa negative pre conceived ideas ya kuamini kama atazungumza lolote la maana, be positive!, listern with forward looking aproach kwa kumsikiliza kwa makini, halafu akiisha maliza ndipo ufanye analysis na kusema kama kuna la maana ama hakuna!. Ukisha anza kuwa na a biased negative perspective, ubongo wako utapoteza objectivity, hiyo bias itakufanya hata azungumze mazuri vipi wewe hutayaona, hutayasikia na kuishia kuona hakuna la maana alilozungumza.
P
mkuu hakuna kituuu..

hovyo kabisaa
 
Wakuu Tate Mkuu, na Tindo, please lets change atitude, ondoa negative pre conceived ideas ya kuamini kama atazungumza lolote la maana, be positive!, listern with forward looking aproach kwa kumsikiliza kwa makini, halafu akiisha maliza ndipo ufanye analysis na kusema kama kuna la maana ama hakuna!. Ukisha anza kuwa na a biased negative perspective, ubongo wako utapoteza objectivity, hiyo bias itakufanya hata azungumze mazuri vipi wewe hutayaona, hutayasikia na kuishia kuona hakuna la maana alilozungumza.
P
Dah! Bahati mbaya, it is too late mkuu. Kwa kweli binafsi siwezi kuwasikiliza hao watu. Nimeshakata tamaa kitambo.
 
Mtu anasimama anauliza

Huo mkopo wa Zanzibar utakuwaje na sisi ni nchi 2, na Zanzibar inategemea utalii?
 
Hajataja mikataba 15 ni ya jambo gani. Ameishia kutaja namba ambayo kila mtu anajua. Je wameona watanzania ni watu wa kujua namba tu na sio aina ya mikataba?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma gang na marehemu wanakomeshwa
 
Mkuu Roving Journalist



Hii kwenye original post ni habari imetoka Ikulu au ni summary yako tu?

Iko wapi press release ya kutoka Ikulu?

Rais Samia ametoa mapendekezo ya nchi za Africa kupewa dola za ki Marekani bilioni 18 kujiongeza kwenye nishati mbadala au jadidifu, mbona sijaona hata hiyo figure kutajwa na kunyambulishwa hata kwa dondoo za mpango huo kwenye original post?

Nilivyosoma hii habari, nikaona kama Rais Samia amepewa heshima ya kuwa msemaji mkubwa sana wa Africa.

Lakini, nikisoma original post, naona kama habari haijapewa uzito unaostahili, hata figures hazikutajwa, ni kama habari imeandikwa kwa watu innumerate, watu ambao hawajui kusoma namba.

Mbona naona kama Rais Samia amepeleka mapendekezo makubwa na muhimu sana COP27, tena kwa niaba ya kanda nzima ya Africa, lakini Ikulu ni kama haijayapa mapendekezo haya umuhimu wake hata kwa kutoa namba na dondoo za mapendekezo?

Nasikitika sana kuona CCM na serikali yake wakipiga jaramba kwenye mambo ya kipuuzi na kusema "Mama anaupiga mwingi" kila mara, lakini, pale linapotokea jambo muhimu ambalo linastahili jaramba kwa haki na kumpa support rais, watu wanaandika kama wamechoka kazi, kwa ufupi, bila kuweka namba, bila kuweka muktadha na umuhimu wa mapendekezo ya rais.

Kama sisi wenyewe hatuyapi umuhimu mapendekezo ya rais wetu katika nyanja za kimataifa, hao tunaowapa mapendekezo watayapa umuhimu kweli?

Hiyo post ya kwanza imetoka wapi?

Ni dondoo za watu baki tu? Au ni habari za kutika Ikulu?



 
Mbali na.mabondo na palachichi ni bidhaa gani nyingine zimekubaliwa na.soko la.china. MWIGULU: bidddhaa zingune ni mazao ya baharini na.hasa mabondo .dah huyu mchumi arudishiwe nafasi yake ya UVCCM
 
Waandishi wa habari wanapaswa kupatiwa mtu mmoja mlangoni toka Musoma ili kila baasa ya mkutano kila.mmoja apite mlangoni na kuzawadiwa mjeredi mmoja.mmoja maana hampitii maswali.ya wananchi juu ya asali gang
 
Siwezi kupoteza mda wangu kusikiliza uongo, bora nitafute ukweli
Dah! Bahati mbaya, it is too late mkuu. Kwa kweli binafsi siwezi kuwasikiliza hao watu. Nimeshakata tamaa kitambo.
Wakuu Gulwa na Tate Mkuu,
Then mna a pyschological problem inaitwa apathy, bila wewe kujijua, hivyo hata ukisikiliza redio, au ukiangalia TV, akiingia mtangazaji fulani, unazima redio ama una hama station!. Please be honest, mtu anaongea, hujasikiliza anaongea nini, unaamua huwezi kupoteza muda wako kusikiliza uongo!, bila ya kusikiliza kilichoongelewa, utajuaje ni uongo?.

Kwa vile wewe tayari umeisha mjua fulani ni muongo siku zote anazungumza uongo, the right thing to do ni kwa wewe kumsikiliza kwanza, kama amezungumza tena uongo, na wewe ukweli unaujua, the right thing to do is to listen, kisha na wewe uiambie jamii hata kupitia tuu humu humu jf, kuwa alichozungumza fulani ni uongo, ukweli ni huu, hapo unakuwa umeisaidia jamii kuiambia ukweli na at the same time kumzuia muongo hiyo kuendelea kudanganya in future, baada ya kujua kumbe kuna watu wanaoujua ukweli hivyo kumuumbua uongo wake!.
P
 
Wakuu Gulwa na Tate Mkuu,
Then mna a pyschological problem inaitwa apathy, bila wewe kujijua, hivyo hata ukisikiliza redio, au ukiangalia TV, akiingia mtangazaji fulani, unazima redio ama una hama station!. Please be honest, mtu anaongea, hujasikiliza anaongea nini, unaamua huwezi kupoteza muda wako kusikiliza uongo!, bila ya kusikiliza kilichoongelewa, utajuaje ni uongo?.

Kwa vile wewe tayari umeisha mjua fulani ni muongo siku zote anazungumza uongo, the right thing to do ni kwa wewe kumsikiliza kwanza, kama amezungumza tena uongo, na wewe ukweli unaujua, the right thing to do is to listen, kisha na wewe uiambie jamii hata kupitia tuu humu humu jf, kuwa alichozungumza fulani ni uongo, ukweli ni huu, hapo unakuwa umeisaidia jamii kuiambia ukweli na at the same time kumzuia muongo hiyo kuendelea kudanganya in future, baada ya kujua kumbe kuna watu wanaoujua ukweli hivyo kumuumbua uongo wake!.
P
Unaweza kukaa kusubiria Diamondi aimbe gospel?
 
Back
Top Bottom