Tunafurahi kwaniAmeibua makasiriko na hoja za mataga wanaowakilishwa humu na Kinuju Stroke Pulchra Animo comte zandrano Kiturilo mjingamimi Kamanda Asiyechoka Crimea
imekufa hiyo
Tunafurahi kwani
Mbowe katambua kuwa Mama ndiye rais- SIJUI KAMA MKO NAE KATIKA HILI
Hii ndio aina ya siasa tunayoitaka Tanzania. Scientific politics. Kukubali siasa ziondoe ubinadamu wetu ni tatizo kubwa lililokuwa linatunyemelea. Safi kabisa.
CHADEMA hajawahi kutambua kuwepo kwa serikali toka 2020- 18/2 Mbowe alipoletwa mahakani si mliimba pambio- rais rais- unajitoa ufahamuKabla ya jana alikuwa anatambua nani ndiye Rais?!
Na mimi naanza kuamini hili mkuu.Aise, siasa ni ngumu kuliko physics wakuu
Wakati Mbowe anakamatwa Sikuwa na Ghetto. Ametoka nina Ghetto lenye kila kitu ndani.
Pole sana Kamanda. Umepotezewa Muda.
View attachment 2139133View attachment 2139135
Sio nia kuahirishwa bali kesi imefutwa sio kwamba imewekwa pending.Kwa vile hukukaa ndani wewe,Mbowe atapumzika kwanza kwasababu ile nia imeahirishwa tuv
CPA 91 inasema pia aweza kukamatwa na kushitakiwa upyaSio nia kuahirishwa bali kesi imefutwa sio kwamba imewekwa pending.
Ndo maana wameachiwa huru bila masharti youote. Kama kuachiwa kwao hiru pangeambatana na masharti kadhaa basi hapo uwezekano wa kesi kuja kuendelea ungekuwepo endapo wangekiuka masharti.
Hapo kesi imefutwa na washindi ni akina Mbowe.
CHADEMA hajawahi kutambua kuwepo kwa serikali toka 2020- 18/2 Mbowe alipoletwa mahakani si mliimba pambio- rais rais- unajitoa ufahamu
Sasa ile RAIS RAIS siku ile ilikuwa ya nani? Mbunge wa Nkasi manamtambua- acheni uchuro basiCHADEMA ndio waliokuwa wa kwanza kuomba kukutana na Rais Samia ndipo msajili na Zitto wakaja na maigizo yao kupitia TCD kufunika na kuvuruga!
Endapo kuachiwa kwake kumeambatana na masharti.CPA 91 inasema pia aweza kukamatwa na kushitakiwa upya
Hakuna masharti ni sheria inasema hivyoEndapo kuachiwa kwake kumeambatana na masharti.