Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Kweli njaa kali. Ameish8a kwenda kuunga mkono juhudi. Si alisema atakaza? "Siasa za kistaarabu"
Hapo zile lugha zao kali ni bye bye ajiangalie sana Rafiki yangu "Mdude" wenzake wamehama

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mama akaleta mapishi mapya.
Umeona ee Kamshika pabaya Mwenyekiti wa kudumu kwa siku zaidi ya 200 kwa kesi ya kusadikika halafu kamutoa kwa kuingilia mahakama kwa werevu wa DPP na kamanda akingia ikulu kukili awe lugha kistaarabu sio kama ule mkutano wa Tabata lugha zake.
Mama alisema anajenga kwanza nchi mambo ya Katiba sio muda wake.
Hawa wanasiasa waacheni tu. Wako kwa maslahi zaidi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti ameshakuwa na adabu
Mwenyekiti wa CCM? Kama unamaanisha EU wamemtia kimuhemuhe mpaka akashika adabu tusubiri tuone kwani muda huwa ni mwalimu mzuri, goodness ule uadui uliojengwa na yule Mrundi mwendazake umevunjwavunjwa vipandevipande na kusagwasagwa hapa kitakachobachi ni kushindana kwa hoja.
 
January 2025 tutajua rasmi sasa nini kiliongelewa hapa baada ya miaka 2 na nusu.
 
Back
Top Bottom