Mataga Kinuju Crimea GENTAMYCINE Kiturilo zandrano Nigrastratatract Kamanda Asiyechoka comte Pulchra Animo mjingamimi na wengine wengi hawapendi kabisa huu utaratibuKaenda kushukuru.Hii ni kama zama za JK wapinzani kwenda Ikulu kunywa chai na kupiga selfie na Rais [emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa hiyo CCM mnaruhusu Gaidi kwenda kushukuru kwa Rais Ikulu...Kaa kimya ufiche ujinga wako....Mnaweza kumweka Gaidi karibu na Rais?Kaenda kushukuru.Hii ni kama zama za JK wapinzani kwenda Ikulu kunywa chai na kupiga selfie na Rais [emoji1][emoji1][emoji1]
Lissu na wengine wengi tungebaki kwenye vitabu vya kumbukumbu...!Mimi sishauriwi, ukinishauri ndio umeharibu kabisa, ashukuriwe Mungu kwa kutuondolea mzimu ule haya yote tusingekuwa tunayaona, Tundu Lissu na wenzake wangeozea ukimbizini, kwa mwendelezo huu ninamuona Lissu na wenzake wakirudi nchini mwao kama raia huru.
ALITAKA KUMLEGEZA MPINZANI,,,,,,,,,,AWE LAINI KIDOGO.Ninachojiuliza ..kwa Nini Samia ametumia mda mrefu hivi ...Jambo hili likachukua mda wore huo...!?
TZ ni zaidi ya Mataifa mengine.Kwa hiyo CCM mnaruhusu Gaidi kwenda kushukuru kwa Rais Ikulu...Kaa kimya ufiche ujinga wako....Mnaweza kumweka Gaidi karibu na Rais?
Mataga wamejitenga na kubaki kununa tu!Kuna Mpambanao wa Uchawa Mkubwa Kati ya Cdm na Act-w, acha Tuone Huu Mpambanao Wao. Bwana Nyepesi Hapo Roho itakuwa inamuuma Sana [emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa MkuuMimi sishauriwi, ukinishauri ndio umeharibu kabisa, ashukuriwe Mungu kwa kutuondolea mzimu ule haya yote tusingekuwa tunayaona, Tundu Lissu na wenzake wangeozea ukimbizini, kwa mwendelezo huu ninamuona Lissu na wenzake wakirudi nchini mwao kama raia huru.
Mi naona si kweli, Mama hayupo hivyo.Huyu Mama ni mkatili hata mseme sijui Mzanzibari, sijui Muislamu, nk. Ongea yake tu anaonekana ana dharau, chuki na kiburi Sana lakini Wananchi tukisimama zaidi kiburi chake kitaisha.
Hiyo TV karibu dirisha uwe makiniWakati Mbowe anakamatwa Sikuwa na Ghetto. Ametoka nina Ghetto lenye kila kitu ndani.
Pole sana Kamanda. Umepotezewa Muda.
View attachment 2139133View attachment 2139135
Siyo kweli kwamba Mbowe kukubali kwenda ikulu ni kuomba msamaha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwashee ile tu kwenda ikulu ni kumsujudia hangaya!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kumlishaaaaa🍛 siyo kumlimishaAlimishwe kwa kosa gani?
Hakuna cha kujifunza kwenye upuuzi ule ulioitwa 'kesi' na ndiyo maana kila mwenye utimamu wa akili aliita 'kesi ya mchongo', kuna vitu vinakuwa obvious mpaka vinatia aibu serikali kama ilivyokuwa kesi ya Mbowe.DPP, Mahakama, TISS, Jeshi la Polisi, TAKUKURU na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ufanyanyaji kazi wake ni sawa na taasisi zingine za serikali zilizo independent kama TANESCO, halmashauri, mkoa, Bandari, Uhamiaji, TPDC, EWURA, PPRA, NSSF and so forth.
Hizo taasisi zote ni independent on books; lakini raisi anaweza influence sio kwa katiba ila kwa maslahi ya nchi au yake.
Magufuli angetaka kumfungulia case Mbowe kwa ushahidi uliotumika chini ya admin angefanya ivyo ndani ya muda wake, J.K angetaka kumfungulia case Mbowe ya mabomu Arusha na kuitisha maandamano ya vurugu angefanya ivyo. Hayo makosa yote yapo katika orodha ya penal codes na sheria zake.
Maana yake nini Mbowe akushitakiwa kwa J.K na Magufuli ni kwa sababu itakuwa walizuia tu.
Vinginevyo TISS, DPP, Mahakama, TAKUKURU bila ya kuingiliwa na wana siasa can do a lot of damage.
Given the evidence Mbowe kashitakiwa na vyombo husika wala mama Samia ahusiki na mashtaka, siasa zimeingia kuzima kesi tu kwa mustakabali mpana wa nchi. Na hakuna mtu anaewatuma kufanya kazi za undercover ni sehemu ya majukumu yao kuzuia uhalifu na kushitaki, sasa CDM viongozi wao wakikutwa na hatia wanaingiza siasa as if hizi taasisi za ulinzi zipo kama majina tu.
Lakini kwa ushahidi uliotumika Magufuli angekuwa na nia nae hiyo kesi angeigiza zamani
Vyombo vingine pia vinamamlaka ya kulinda nchi kwa sheria zilizozianzisha ivyo vyombo kwa hiyo sio kila hatua zao ni siasa.
Wakikuona unatumika na watu wa nje wakafanya yao sio lazima wametumwa na mwanasiasa au raisi ni katika majuku yao tu.
That is to say based on evidence kwenye case ya Mbowe jamuhuri ilithibitisha there was enough evidence of ‘mens rea’ ndio maana mahakama ikaona kuna kesi ya kujibu.
Muhimu hapa ni kuacha kujiongopea mtu kama ni invisible katika mipango ya ovyo jamaa wakiamua kufanya yao mziki keshauona; bila ya msamaha wa nyuma ya pazia wa kisiasa taasisi zingine zingemmaliza Mbowe kwa mipango yake ya kipuuzi with evidence.
Tueshimu sheria za nchi, usivinje halafu ulaumu wanasiasa kama ilivyo kwa wafuasi wa CDM, hope Mbowe kajifunza somo lake.
Mungu wa mbinguni ni mwema!
Akina Swila na wale waliomnyima chakula Mbowe kwa miezi 5 wakiona hii picha sijui hata wanawazaje!
Unamaanisha akina Etweege, Comte, Mtambuka, Zandramo&co sio😄Mai
Maigizo yanategemea interpretation yako. Kuna watu mpaka leo wanaamini kifo Cha Rais Magufuli Ni maigizo.
na wale akina Erythrocyte waliokuwa hawataki atoke kwa huruma mpaka kesi iishe sijui wanajisikiaje mbowe akikiri k uacha fujo mbele ya rais na watanzania wote wakimsikiliza?Mungu wa mbinguni ni mwema!
Akina Swila na wale waliomnyima chakula Mbowe kwa miezi 5 wakiona hii picha sijui hata wanawazaje!
Bado natafakari ya mbwa wangu watatu. S S na K yaani Sirro Slaa na Kigogo2014. Hivi wataweza kubweka tena""
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe Ikulu Mkoani Dar Es Salaam.
Rais Samia amesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania kwa kuaminiana na kuheshimiana kwa misingi ya haki.
Mhe. Mbowe amemshukuru Rais Samia kwa kuonesha kwake kujali huku akikubali kuwa msingi mkubwa wa kujenga taila la Tanzania ni kusimama katika haki.
Vile vile, amesema wamekubaliana kufanya siasa za kistaarabu na kiungwana na kuwa yuko tayari kushirikiana na Serikali katika kuleta maendeleo ili nao pia waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
====
Picha Mbalimbali zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe alipowasili Ikulu Jijini Dar Es salaam leo tarehe 04 March 2022