Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Lissu na wengine wengi tungebaki kwenye vitabu vya kumbukumbu...!
Hii nchi ilielekezwa njia ya kuzimu kwa spidi kubwa sana.
 
Ninachojiuliza ..kwa Nini Samia ametumia mda mrefu hivi ...Jambo hili likachukua mda wore huo...!?
ALITAKA KUMLEGEZA MPINZANI,,,,,,,,,,AWE LAINI KIDOGO.
Si unaona mbowe amekuja kwa mama mikono nyuma?
kiburi na ujeuri vyote kaviacha celo. 😁😁😁
 
Naona Mama anafuata nyao za Uhuru hapo kenya, ya nini kugombana njoo tukae tuzungumze na tuelewane ilimradi mambo yaende vizuri.
 
Kuna Mpambanao wa Uchawa Mkubwa Kati ya Cdm na Act-w, acha Tuone Huu Mpambanao Wao. Bwana Nyepesi Hapo Roho itakuwa inamuuma Sana [emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Mama ni mkatili hata mseme sijui Mzanzibari, sijui Muislamu, nk. Ongea yake tu anaonekana ana dharau, chuki na kiburi Sana lakini Wananchi tukisimama zaidi kiburi chake kitaisha.
 
Kweli kabisa Mkuu

Mama SSH anajenga Tanzania bora sana....ni vema washauri wake wajitafakari na wasimpotoshe....Amani ndio msingi wa maendeleo...madaraja na fly over bila amani ni sawa na bure.
 
Huyu Mama ni mkatili hata mseme sijui Mzanzibari, sijui Muislamu, nk. Ongea yake tu anaonekana ana dharau, chuki na kiburi Sana lakini Wananchi tukisimama zaidi kiburi chake kitaisha.
Mi naona si kweli, Mama hayupo hivyo.
Bi, Mkubwa yupo fresh tu,,,,,,, ana sura angavu yenye mvuto,,,,,, ana macho mazuri yenye kukufanya upate kiu ya maji kila uyaonapo.
Kauli zake ni Thabiti, zenye kukufanya UTII bila shuruti.
Mungu anajua ni kwanini Mama anatufaa kwa awamu hii na si mwingine.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bwashee ile tu kwenda ikulu ni kumsujudia hangaya!



Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Siyo kweli kwamba Mbowe kukubali kwenda ikulu ni kuomba msamaha.

Tangu mwanzo hata kabla ya kubambikiwa kesi Mbowe hakuwahi kuona tatizo yeye kukutana na Rais. Rejea kauli zake za kutaka mardhiano ya kitaifa.

Lakini pia kwa nini usifikiri kwamba hata Rais anaweza kumwomba msamaha Mbowe "personally" màana kwa hakika tayari ameshagundua kuwa alidanganywa kuongea uongo bbc.

Mbowe angetaka kuomba msamaha angeomba tangu mwanzo hata kabla ya kukaa muda wote huo,

Mbona hujaongelea sanaa walizofanya serikali kupitia kwa Zitto, na dini ili kuficha aibu ya kesi ambayo kwa namna ilipokuwa imefika ilikuwa imeshaivua nguo serikali na zaidi ilikuwa inamuumiza Hangaya hivyo alikuwa akisaka "nitoke vipi"
 
Hakuna cha kujifunza kwenye upuuzi ule ulioitwa 'kesi' na ndiyo maana kila mwenye utimamu wa akili aliita 'kesi ya mchongo', kuna vitu vinakuwa obvious mpaka vinatia aibu serikali kama ilivyokuwa kesi ya Mbowe.
Huo utoto wa kwamba eti vyombo vya dola viko free labda hayo aambiwe mtoto aliyezaliwa jana, tokea phase ya Mchonga ilikuwa ikijionyesha vyombo vya ulinzi na usalama hasa TISS na polisi ufanyaji kazi wao hu-reflect msimamo wa rais aliyeko madarakani.
Rais ambaye hakuwa na utu na wala hakuthamini uhai wa mtu yoyote aliyetofautina naye kiitikadi kama alivyokuwa Magu polisi walikuwa brutal sana na TISS walipoteza sana watu, kwa phase hii dalili zinavyoonyesha hakutakuwa na kutunguana hadharani kama ilivyotokea kwa Lissu kule Dodoma mchana kweupe huku walinzi(security guards) na polisi wakiondolewa eneo la tukio ili 'zoezi' lifanyike au watu kupotezwa kama ilivyotokea kwa Ben Saanane au kutekwa, kuteswa na kutupwa vichakani kama ilivyotokea kwa Mdude Nyangali. Jinai ziende mahakamani si kutekana na kutesana kisa posts za mitandaoni.
Maelezo yako hayana mashiko hata kidogo.
 
Gaidi kuitwa mheshimiwa🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Mungu wa mbinguni ni mwema!

Akina Swila na wale waliomnyima chakula Mbowe kwa miezi 5 wakiona hii picha sijui hata wanawazaje!
na wale akina Erythrocyte waliokuwa hawataki atoke kwa huruma mpaka kesi iishe sijui wanajisikiaje mbowe akikiri k uacha fujo mbele ya rais na watanzania wote wakimsikiliza?
 
Bado natafakari ya mbwa wangu watatu. S S na K yaani Sirro Slaa na Kigogo2014. Hivi wataweza kubweka tena""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…