Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

Ninatabiri mengi mema yatajitokeza "including" Katiba Mpya.
 
Waliosema mbowe ni gaidi wanaficha wapi sura zao? Yu wapi Dr. Mihogo?
 
Kwenda direct Ikulu kutabadilisha kwa kiasi kikubwa hotuba atakayotoa kwa wana Chadema na waandishi wa habari. Bila shaka hotuba yake itaondoa maneno makali ambayo angetoa kama asingekwenda.
Uko sahihi kabisa
 
Unaishi Tanzania kweli?
zito alimuombea msamaha mbowe alijibiwa nini?
Alikuwa crushed kwa kuwa those people who know him well could read through him, alijiaibisha na walimkana hadharani mnafiki yule. Kama kuna watu bado wanawasikiliza sellouts kama Zitto inafikirisha sana.
 
Hata chama kinaweza kuwa tatizo kwa kujipa hati miliki bandia ya kuongoza nchi. Wakati mwingine chama kimoja kinaweza kuzuia au kupunguza uhuru wa kutoa maoni na kufanya siasa, hivyo kuwepo kwa vyama vingi vyenye sera tofauti vinatoa nafasi pana zaidi kwa wananchi kushiriki katika uongozi wa Taifa lao.
 
Bila kusahau katiba mpya
 
Huyu baba ilibidi apumzike yaani katoka leo safari Ikulu
Wewe ukiitwa ikulu unaweza kusema subiri nitakuja.kwasababu hiyo ni dhahiri Rais ndiye aliyemuita mbowe.sasa ni nani anayeweza kukataa au kuhairisha wito wa rais wa nchi ata kwa dakika moja.labda kama hujipendi.
 
Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi ndio mzizi wa mjadala ule
TATIZO LAKO NA WEWE nemsema mbowe akisema kwa sasa tusubiri tunajipanga baada ya muda ndiyo tutaanza kudai katiba mpya mtasema sawa mkuu maana mbowe hakoseagi na kila akisemacho lazima mkubali?
 
Wewe ukiitwa ikulu unaweza kusema subiri nitakuja.kwasababu hiyo ni dhahiri Rais ndiye aliyemuita mbowe.sasa ni nani anayeweza kukataa au kuhairisha wito wa rais wa nchi ata kwa dakika moja.labda kama hujipendi.
Duh nidhamu ya uwoga naipinga vikali na kwa bahati nzuri sina
 
Serikali imetumia timing mbaya kumkamata na kumuachia MBOWE kwa kifupi serikali imejidhalilisha.....
 
Mwenyekiti ameshakuwa na adabu
Alikuwa crushed kwa kuwa those people who know him well could read through him, alijiaibisha na walimkana hadharani mnafiki yule. Kama kuna watu bado wanawasikiliza sellouts kama Zitto inafikirisha sana.
 
"Gaidi"anaporuhusiwa Kufika Ikulu kuona na amiri jeshi mkuu!!
Watu kama Siro,na polisi wote walioshiriki kutengeneza huu mchongo wakiona hivi,wanajisikiaje?
Mishuzi,kiu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…