IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!

Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:

Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020

Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….

Britanicca
Mbona wewe ni member tokea 2015?
 
Kuhusu hii mikutano ya Mbowe kwenda ikulu, naona tusiache hisia zetu kutawala akili zetu, kwa kawaida mwanadamu huwa haridhiki kwa chochote, wakati Mbowe akitaka maridhiano akanyimwa mlilalamika, leo mikutano imekuwa mingi mnalalamika tena.

Tuache muda uje kuamua kama hiyo mikutano itakuwa na tija au hapana.
Tatizo la Wanaharakati haijulikani nini wanataka na nino hawataki
 
View attachment 2218719

Kama ambavyo tunajua hii ni awamu maarufu kwa kulamba asali.

Ukipiga kelele kidogo unapewa asali ulambe.

Swali nalojiuliza kwa nini Mbowe anaenda kila siku kimya kimya kulamba asali peke yake?

Makamanda wenzie wataanza kulambishwa asali lini
Huo ni uchochezi,au tukuite mchukia Chadema na awamu ya sita au nikuite like kundi linalotaka kujitenga almaarufu Sgang
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.

Kuna jambo litatokea ktk kikao cha kamati kuu CCM na baraza kuu!natabiri hvo!why aonane na mama siku moja kabla ya kikao cha kamati kuu!kuna jambo lipo!!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.

Hureeeeee ,
Hii ndiyo Tanzania tuliyo izoea ambayo miaka mi5 iliyo pita ilihujumiwa na makaburu weusi lakini Mungu wetu Yu hai akatufanyia mapinduzi baridi bila kumwaga Damu.
 
(In Mama voice)Tuna miaka 3 tu Kama sio miwili na nusu imebaki mmejipangaje wenzentu huko....halafu wasiojua wala kufuatilia mambo wanaambiwa
tuandamane nao hao.
Mhhh, mtapata tabu Sana msipo kubali mabadiliko kuwa Tanzania ya leo HAKUNA watu wasiojulikana ,HAKUNA maiti zinazo okotwa ktk viroba ,HAKUNA watu kupotezwa,HAKUNA kupigwa risasi hovyo nk.
Badilikeni vinginevyo muunde serikali ya Chaltle Province.
 
Real good governance. Mama tutengenezee Tanzania mpya. Tuwe kama Kenya. Hawa wapo kwe baraza la usalama UN eti. Sisi tunaboronga kila kitu.
 
Mhhh, mtapata tabu Sana msipo kubali mabadiliko kuwa Tanzania ya leo HAKUNA watu wasiojulikana ,HAKUNA maiti zinazo okotwa ktk viroba ,HAKUNA watu kupotezwa,HAKUNA kupigwa risasi hovyo nk.
Badilikeni vinginevyo muunde serikali ya Chaltle Province.
Mbona unanibambikia kesi umenielewa nilichomaanisha au umekurupuka...Nawaambia ndugu zangu wasiojua kua siasa za bongo hazina uhasama huo wanaouchukulia wananchi wasio ijua siasa.
 
Huyu mzee muda huu wananchi wanajipambania wenyewe kuhusu bei ya petroli na mfumuko wa bei yeye kila siku anapiga piga picha tu alafu baadae uje kujiliza liza kwa wananchi.
Kwenye shida zenu ndio mnaikumbuka Chadema sio,mkiwa hamna shida mnaiponda.
 
Back
Top Bottom