Tunawatakia Kila la kheriWanaongelea mambo ya uchumi wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawatakia Kila la kheriWanaongelea mambo ya uchumi wa nchi
Hakuna
Mbona wewe ni member tokea 2015?Mbowe ni CCM Full stop mtanielewa 2035 !!
Nilisema Mrema ni CCM mwaka 1996 watu wakanijia juu:
Nikaandika hapa kwamba Dr SLAA ni CCM ilikuwa mwaka 2009 na kadi yake ilikuwa imelipiwa hadi 2020
Hawa wote wako Upinzani na wanaalipwa na serikali
Wa mtaani ndo utanibishia….
Britanicca
Tatizo la Wanaharakati haijulikani nini wanataka na nino hawatakiKuhusu hii mikutano ya Mbowe kwenda ikulu, naona tusiache hisia zetu kutawala akili zetu, kwa kawaida mwanadamu huwa haridhiki kwa chochote, wakati Mbowe akitaka maridhiano akanyimwa mlilalamika, leo mikutano imekuwa mingi mnalalamika tena.
Tuache muda uje kuamua kama hiyo mikutano itakuwa na tija au hapana.
Huo ni uchochezi,au tukuite mchukia Chadema na awamu ya sita au nikuite like kundi linalotaka kujitenga almaarufu SgangView attachment 2218719
Kama ambavyo tunajua hii ni awamu maarufu kwa kulamba asali.
Ukipiga kelele kidogo unapewa asali ulambe.
Swali nalojiuliza kwa nini Mbowe anaenda kila siku kimya kimya kulamba asali peke yake?
Makamanda wenzie wataanza kulambishwa asali lini
Kuna jambo litatokea ktk kikao cha kamati kuu CCM na baraza kuu!natabiri hvo!why aonane na mama siku moja kabla ya kikao cha kamati kuu!kuna jambo lipo!!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
Wenye chuki wote tutawaonainatafutwa nafasi ya Mukya bungeni
Au anataka na sisi tuanze kujadili pozi la kuuza Kangara 😝Yaani unam judge mtu kutokana na pozi? Ulitaka atoe pozi lipi?
Kama unaamini hayo kwanini usihame chama?Mkuu mwenyekiti analamba asali peke yake sisi wafia chama tunamtukana rais, uhoni kama sio fair?
Utashangazwa...Hakuna maelewano kuhusu covid 19 , kilichopo ni kushawishi Chadema kuteua wengine , Habari ya Mdee na kundi lake imekwisha .
mbowe sio gaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
Hureeeeee ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo tarehe 09 Mei, 2022.
Mhhh, mtapata tabu Sana msipo kubali mabadiliko kuwa Tanzania ya leo HAKUNA watu wasiojulikana ,HAKUNA maiti zinazo okotwa ktk viroba ,HAKUNA watu kupotezwa,HAKUNA kupigwa risasi hovyo nk.(In Mama voice)Tuna miaka 3 tu Kama sio miwili na nusu imebaki mmejipangaje wenzentu huko....halafu wasiojua wala kufuatilia mambo wanaambiwa
tuandamane nao hao.
Mbona unanibambikia kesi umenielewa nilichomaanisha au umekurupuka...Nawaambia ndugu zangu wasiojua kua siasa za bongo hazina uhasama huo wanaouchukulia wananchi wasio ijua siasa.Mhhh, mtapata tabu Sana msipo kubali mabadiliko kuwa Tanzania ya leo HAKUNA watu wasiojulikana ,HAKUNA maiti zinazo okotwa ktk viroba ,HAKUNA watu kupotezwa,HAKUNA kupigwa risasi hovyo nk.
Badilikeni vinginevyo muunde serikali ya Chaltle Province.
Upinzani anao ZittoIngekuwa Zitto sasa! Angesemwa wiki nzima! Hii nchi hakuna upinzani.
Kwenye shida zenu ndio mnaikumbuka Chadema sio,mkiwa hamna shida mnaiponda.Huyu mzee muda huu wananchi wanajipambania wenyewe kuhusu bei ya petroli na mfumuko wa bei yeye kila siku anapiga piga picha tu alafu baadae uje kujiliza liza kwa wananchi.
Pole kwa sababu nimeshiba au kuna lingine?Pole