Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Huwa wanaandaa Version Mbili za Ripoti Hard na Soft.
Alafu wakati wakuitoa hiyo Ripoti wanasoma Upepo ukiwa mzuri wanato Hard ukiwa Mbaya wanatoa Soft.
Kwa sasa Upepo umeruhusu kutoa Version Hard Ripoti.
 
Billioni 60 ni pesa mingi sana.
kwa mazingira ya ATCL yalivyokuwa mwanzo hali ilikuwa mbaya zaidi.
Je tumeweza kujiuliza ATCL kabla ya hizi ndege ilikuwa inatengeneza hasara kiasi gani?
lakini ifahamike kuwa upo uwezekano walikuwa na variable cost nyingi kwa kuwa lilishashindwa kujiendesha.
pia tukumbuke matarajio mengine ya kipato yalitegemewa kutokana na safari za nje ambazo zilikufa kutokana na Korona wakati shirika lilishalipia vibari na kufanya promotion kwa safari hizi na hazikufanyika.
haya ni machache ambayo mimi kwa uelewa mdogo naweza kueleza japo yapo mengi tu ikiwemo ununuaji wa samani zinazoweza kufanana na huduma tarajiwa ikiwemo pia utengenezaji wa mifumo ya IT.
kwa hiyo ni sawa sana tu.
 
Niliamua kukaa kimya tu. Sikuona cha kuandika.
 
Hivi unadhani mama samia ni chadema/ACT? Au umehama chama?
Huo ndiyo mwisho wenu wa akili zenu nyinyi MATAGA.
Hata kama ni mpinzani kumpongeza kiongozi wa nchi kama amefanya jambo lenye manufaa kwa taifa halina majadala wala siyo dhambi.

MATAGA mtabakia hivyo hivyo gizani wakati dunia inawapita tu.
Rais amefanya jambo la kusifiwa maana lina manufaa kwa taifa hivyo lazima tumpongeze.

Najua nyinyi MATAGA hamkufurahishwa na hilo jambo la kuibua ufisadi leo hii maana mlikuwa mnatamba kuwa awamu ya tano mmekomesha ufisadi kumbe nyinyi wenyewe ndiyo mafisadi.
 
Mwenyewe halikuwa hapendi
ATCL hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivi CAG kwanini hakuliona na kulisema hilo live bila chenga kwenye report ya mwaka jana na juzi? #FearingMagufuli
 
JPM aliuua upinzani, rais Samia kaja kuuzika rasmi...
Kama ulikua hujua sasa wajua...
 
Pumbaf wewe MATAGA watu wanafurahia kiongozi anavyofanya kazi kwa weledi na siyo mihemuko
Nasema hivi, upinzani ndio unazikwa rasmi sasa kama huelewi muazime lissu akili akusaidie..wewe tukana upendavyo...
 
Nasema hivi, upinzani ndio unazikwa rasmi sasa kama huelewi muazime lissu akili akusaidie..wewe tukana upendavyo...
Pole sana wewe ndumila kuwili na sasa labda nikusaidie jambo ambalo hulijui.

Siyo kila mpinzani wa serikali yupo nje ya mfumo,utakuwa unajidanganya sana.

Upinzani utakuwepo kama mlishindwa kuumaliza nyinyi makatili
 
Hizo ni assumption zako mkuu.kumhukavni kwa miaka mitano mfululizo.korona imeafect mwaka mmoja kati ya mitano.samani na mifumo ya tehama inabadilishwa kila mwaka au unataka kusemaje.jiwe aliambiwa ndege huwa hazinunuliwi kwa cash.alifeli kwrnye mv bagamoyo kafeli kwenye ndrge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…