Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Nasema hivi, upinzani ndio unazikwa rasmi sasa kama huelewi muazime lissu akili akusaidie..wewe tukana upendavyo...
Acha uchama wewe, angalia kazi nzuri ya rais, kwani upinzani ukimsifia rais kwa kazi nzuri kuna shida gani?, nyie ndio watu unaowaponza viongozi wetu . Namshauri rais akae mbali kabisa na watu wa aina yako.
 
Mkuu kama hutajali ukiachana na id fake ingekuwa inawezakana tungekutana au tufanye mdahalo humuhumu wowote itangejulikana
Kutofikia malengo ya faida ndio unaita hasara?
Unajua faida au hasara inapatikanaje, vipi unajua kuhusu break even.
 
Mkuu haswa japo huwa haiwekwi wazi toka umeanza kusikia tanesco kuna mwaka imepata faida mbona haifi kama huamini fatilia
TANESCO itaendeshwa na ruzuku kama haina faida, hutokaa usikie imefirisika serikali sio kichaa iache nchi gizani na viwanda visimame isipate kodi. Kuna biashara zinaendeshwa ili kusaidia biashara nyingine, unahisi kwa nini Qatar wanakomaa na Qatar Airways au UAE wanakomaa na Fly Emirates wakati nchi kama USA na UK hazina national carrier wakati wana makampuni ya kutengeneza ndege.
 
Ni sawa kabisa....inashangaza kwa tuliamini hakuna mambo hayo
 
Tell that to your choir praise team, wamekua wakisema it has been profitable all year through
 
Kwaiyo kwa maoni yako corona imesaidia kupunguza hasara.
 
Prof Assad pekee ndiyo anaweza kumsaidia huyu Mh. Rais Wetu Samia Suluhu Hassan katika kukabiliana na mijizi. Ikimpendeza tunaomba amrejeshe Assad kuwa CAG. Yaani au hata ampe special task kwa kazi hiyo ila UCAG ndiyo safi. Huyu CAG aliyesimikwa na yule mpenda Ukanda na Ukabila hana lolote zaidi ilikuwa ni kulinda mambo yake ya miradi pendeleo. Mungu ndiyo Kiboko yetu sote aisee. Tutende tu kwa haki.
 

I have every reason to believe that the CAG report has been edited to suit the new circumstances. There is no way Kachele would have included the report on the financial performance of ATCL if the report was to be presented to Magufuli! Kama mtakumbuka kuwa mahesabu yote ya ATCL yalikuwa yanafichwa yasionekane na Wananchi!.
 
Ripoti ndo hiyohiyo hakuna nyingine.
 
Hii ripoti haikusubiri hata utengano wa nyonga na tumbo vya marehemu.


Yaani km angeweza kushuhudia haya yanayoanza kujidhihirisha nae km Mpenzi mtazamaji amini nawaambia tumbo la uharo lingemkumba maiti huyo.
Ripoti inatakiwa kukabidhiwa kabla ya tarehe 29 mwezi March ba ndio maana imeingizwa fasta hapohapo hakukuwa na namna na vyote vilikuwa kwenye ratiba tayar.
 
Unajua kama usipokuwa na akili ya Mataga Mataga, kunamambo mepesi sana kuyajua hata kama CAG hakuyasema, wewe ujiulize hv ndege tukizonunua ni zipi zinazofanya route za kimataifa na mara ngapi kwa wiki au kwa mwezi mbona unapata jibu
 
Kuna madini aliyafinyia kwa ndani ila baada ya mchezo kubadilika akakesha na kuyarejesha kwenye report.
Mama pia amempa moyo CAG na amemsisitiza afunguke asifiche-fiche mautopolo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…