feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
[emoji16][emoji16]
Wanafikiria habari za 180 billion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafikiria habari za 180 billion
Mkuu haswa japo huwa haiwekwi wazi toka umeanza kusikia tanesco kuna mwaka imepata faida mbona haifi kama huamini fatiliaHizi hesabu zako komesha...kwaiyo CAG katoa ripoti ya hasara ya faida!!
Acha uchama wewe, angalia kazi nzuri ya rais, kwani upinzani ukimsifia rais kwa kazi nzuri kuna shida gani?, nyie ndio watu unaowaponza viongozi wetu . Namshauri rais akae mbali kabisa na watu wa aina yako.Nasema hivi, upinzani ndio unazikwa rasmi sasa kama huelewi muazime lissu akili akusaidie..wewe tukana upendavyo...
Mkuu kama hutajali ukiachana na id fake ingekuwa inawezakana tungekutana au tufanye mdahalo humuhumu wowote itangejulikanaMtu mwenyewe anajiita Zombi Mweusi unategemea ajue hesabu[emoji23]
Kutofikia malengo ya faida ndio unaita hasara?Mkuu kama hutajali ukiachana na id fake ingekuwa inawezakana tungekutana au tufanye mdahalo humuhumu wowote itangejulikana
TANESCO itaendeshwa na ruzuku kama haina faida, hutokaa usikie imefirisika serikali sio kichaa iache nchi gizani na viwanda visimame isipate kodi. Kuna biashara zinaendeshwa ili kusaidia biashara nyingine, unahisi kwa nini Qatar wanakomaa na Qatar Airways au UAE wanakomaa na Fly Emirates wakati nchi kama USA na UK hazina national carrier wakati wana makampuni ya kutengeneza ndege.Mkuu haswa japo huwa haiwekwi wazi toka umeanza kusikia tanesco kuna mwaka imepata faida mbona haifi kama huamini fatilia
Ni sawa kabisa....inashangaza kwa tuliamini hakuna mambo hayokwa mazingira ya ATCL yalivyokuwa mwanzo hali ilikuwa mbaya zaidi.
Je tumeweza kujiuliza ATCL kabla ya hizi ndege ilikuwa inatengeneza hasara kiasi gani?
lakini ifahamike kuwa upo uwezekano walikuwa na variable cost nyingi kwa kuwa lilishashindwa kujiendesha.
pia tukumbuke matarajio mengine ya kipato yalitegemewa kutokana na safari za nje ambazo zilikufa kutokana na Korona wakati shirika lilishalipia vibari na kufanya promotion kwa safari hizi na hazikufanyika.
haya ni machache ambayo mimi kwa uelewa mdogo naweza kueleza japo yapo mengi tu ikiwemo ununuaji wa samani zinazoweza kufanana na huduma tarajiwa ikiwemo pia utengenezaji wa mifumo ya IT.
kwa hiyo ni sawa sana tu.
Tell that to your choir praise team, wamekua wakisema it has been profitable all year throughUnategemea shirika lililofufuka 2018 kutengeneza faida?
Hata fleet ya ATCL bado changa sana. Mpango wa ATCL ulikuwa ni kuanza kutengeneza faida 2022 baada ya kupata ndege zote zilizotarajiwa. Hali ya covid-19 huenda ikarudisha nyuma mipango hiyo.
Ngoja wakianza safari nyingi za kimataifa ndiyo tuwahukumu. ATCL ilikuwa mahututi huwezi kutegemea watengeneze faida ndani ya miaka miwili.
HahahaNi milioni ngapi hizo?
Kwa asilimia 100 huyu CAG angekuwa ndiyo anakabidhi taarifa hii kwa Marehemu hiki kipengele angekiyumbisha ili kumfurahisha Marehemu na kulinda ugali wake. Maana ilikuwa ni lazima uendane na anachokitaka Marehemu.
Kwaiyo kwa maoni yako corona imesaidia kupunguza hasara.kwa mazingira ya ATCL yalivyokuwa mwanzo hali ilikuwa mbaya zaidi.
Je tumeweza kujiuliza ATCL kabla ya hizi ndege ilikuwa inatengeneza hasara kiasi gani?
lakini ifahamike kuwa upo uwezekano walikuwa na variable cost nyingi kwa kuwa lilishashindwa kujiendesha.
pia tukumbuke matarajio mengine ya kipato yalitegemewa kutokana na safari za nje ambazo zilikufa kutokana na Korona wakati shirika lilishalipia vibari na kufanya promotion kwa safari hizi na hazikufanyika.
haya ni machache ambayo mimi kwa uelewa mdogo naweza kueleza japo yapo mengi tu ikiwemo ununuaji wa samani zinazoweza kufanana na huduma tarajiwa ikiwemo pia utengenezaji wa mifumo ya IT.
kwa hiyo ni sawa sana tu.
Mkuu nawewe unaingizwa mkenge kirahisi hivi na watu wasiopenda kusoma na kufuatilia Mambo?Ziko nakala mbili halisi na bandia inategemea anapewa nani
Prof Assad pekee ndiyo anaweza kumsaidia huyu Mh. Rais Wetu Samia Suluhu Hassan katika kukabiliana na mijizi. Ikimpendeza tunaomba amrejeshe Assad kuwa CAG. Yaani au hata ampe special task kwa kazi hiyo ila UCAG ndiyo safi. Huyu CAG aliyesimikwa na yule mpenda Ukanda na Ukabila hana lolote zaidi ilikuwa ni kulinda mambo yake ya miradi pendeleo. Mungu ndiyo Kiboko yetu sote aisee. Tutende tu kwa haki.Yaani tulivyo shuhudia Prof. Assad alivyo furumishwa unceremonously kutoka ofisini, akawa humiliated further na Spika wa Bunge, one could sense kulikuwa kumejengeka uadui mkubwa baina ya Spika Ndugai, baadhi ya wabunge dhidi ya Prof. Assad wa watu.
Kilicho mponza Prof. Assad ni kusema ukweli bila ya kumungunya maneno, ni hicho tu na wala hakuna kingine.
Rai yangu kwa Mh. Rais S.S. Hassan, tafadhali mrudishe fasta Mzalendo wa kweli Prof. Assad kwenye wadhifa wa CAG, Prof. Assad ni jasiri sana, anajali sana ethics za kazi yake, aogopi kusema ukweli lets what comes may, ali-train ma auditors kwa kiwango cha juu, hana makuu na ni mvumilivu sana.
Tunayasema haya kwa nia njema tu, tunakuwa wakweli hapa ni hivi: Prof. Assad ndiye atakusaidia sana kuwashukia kama mwewe wezi na wabadhirifu walio kubuhu Serikalini na kwenye mashirika ya UMMA - mama huna haja ya kumkumbusha CAG kwamba awe muwazi zaidi - hiyo ndio kazi yake i.e to call a spade a spade na sio kuletewa report ambayo sehemu nyingine haiko transparent ikiwa ni mbinu za kutaka kuwalinda waharifu kiaina - please recall Prof. Assad.
Nileteeeni Gwajima, nileteeeeeeeeeeeeni Gwajimaaaaa. Mungu so Athman.Huku kwetu wamejaa matapeli kina gwajima
CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Ripoti ndo hiyohiyo hakuna nyingine.CAG aliyepita prof Assad alitoa ripoti mbaya ya ununuzi wa hizo ndege matokeo yake Ndungai akamvalia njuga hadi akatolewa, na Mara zote mkuu aliyepita alitangaza faida ya hizi ndege. Mkaguzi Kichere atuambie ni kweli hii ndiyo taarifa aliandaa kumpelekea JPM au ameiedit baada ya kugundua kuwa anaepelekewa siyo JPM tena.
Ripoti inatakiwa kukabidhiwa kabla ya tarehe 29 mwezi March ba ndio maana imeingizwa fasta hapohapo hakukuwa na namna na vyote vilikuwa kwenye ratiba tayar.Hii ripoti haikusubiri hata utengano wa nyonga na tumbo vya marehemu.
Yaani km angeweza kushuhudia haya yanayoanza kujidhihirisha nae km Mpenzi mtazamaji amini nawaambia tumbo la uharo lingemkumba maiti huyo.
Printa ZILIWAKA MOTO[emoji3][emoji3][emoji3]Imeeditiwa usiku kucha.. printa ziliwaka moto... Kuongeza zile vitu jiwe alikua hapendi kusikia
Mwanzo mpya wa uwazi.