Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

Punguza mukari, usije regret baadae, mimi namtakia kila lenye kheri mama Samia. Ila sitaki kuweka imani kwake kwa sasa.

222debe0-3032-4628-bf7f-640c496b41e9.jpg
 
Yap, ningependa jua 2015/2016 hasara ilikua kiasi gani pia...maana yawezekana uwiano wa hasara ukawa unapungua...
Una wazimu wewe. Yani dude linakukamua kwa kasi hivyo halafu unalikumbatia tu. Hasara ni hasara haina soft touch!
 
Wachawi kama kawaida.
umeisikiliza na kuielewa ripoti ya CAG? hiyo loss ya billns.of money unaionaje! inatabili uhai wa shirika ??,Kama wamezalisha loss ,maana yake wamefanya consumption hadi kwenye capital invested, unategemea nn hapo Kama sio kufunga biashara.
 
-Ni kampuni ipi ya usafirishaji duniani imepata faida kipindi hiki cha corona??
-usitegemee pia unaanza tu uwekezaji mkubwa alafu unapata faida wakati tayari kuna washindani wako ambao walishajiimarisha....
Ni common sense tu wala haihitaji uwe umesomea uchumi...hata mmachinga anaielewa hii logic..
Mmeshaanza kuhamisha magoli jiwe sialiwahi kumuuliza
Mkurugenzi wa hilo shirika akasema wamepata faida kubwa imekuwaje leo mnaanza kukana maneno yenu? Corona sio issue kwetu unataka kuniambia kurusha Boing kwenda Mwanza na kurudi ndio upate faida acheni upuuzi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
ATCL wajitadhimini.naona dalili za kufa kwa hili shirika.mwenye shirika ndo hayupo tena,sidhani Kama hili shirika litachukua hata 3yrs,katika miradi ambayo jpm aliifufua,ATCL itakuwa ndo 1st ku collapse.
Aliyejidai kulifufua ndio kaliua. ATCL haijawahi kupata faida tangu ianzishwe na mashirika ya kibinafsi kayaua.
 
Mmeshaanza kuhamisha magoli jiwe sialiwahi kumuuliza
Mkurugenzi wa hilo shirika akasema wamepata faida kubwa imekuwaje leo mnaanza kukana maneno yenu? Corona sio issue kwetu unataka kuniambia kurusha Boing kwenda Mwanza na kurudi ndio upate faida acheni upuuzi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kuna mtu aliniambia trip ya mwanza tu inaingiza faida ya kutosha
 
Mama SSH ... Toa amri watu wakae ndani huku uchunguzi ukiendelea ...kujiuzulu pekee hakutoshi...

Vp pesa za Libya
 
Leo, Machi 28 ni siku ambayo Rais Samia anatarajia kupokea ripoti ya CAG.

Fuatilia hapa kitakachokuwa kinaendelea


==========



CAG: Katika ukaguzi wetu wa 2019/2020 tumebaini ATCL imetengeneza hasara ya TZS Bilioni 60

Kwa miaka 5 iliyopita Shirika limekuwa likitengeneza hasara

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amesema amekagua Vyama vya Siasa 17 ambapo Hati zinazoridhisha ni nne, zenye mashaka ni nne, hamna Hati mbaya lakini ameshindwa kutoa maoni kwenye hati tisa
-
Amesema ameshindwa kutoa maoni kwasababu hesabu zao hazikuzingatia utaratibu wa kutengeneza hesabu, na wengine hawakuzileta kabisa ili ziweze kukaguliwa

CAG Charles Kichere: Miradi ambayo nimefanya ukaguzi ni Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka DSM hadi Makutupora

- Mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP). Mradi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kwa DSM (UDART) Gerezani mpaka Mbagala

CAG Charles Kichere: Pia, tumekagua Mradi wa upanuzi wa barabara ya Morogoro kutoka Kimara hadi Kibaha

- Mradi wa usambazaji maji wa Same, Mwanga na Korogwe pamoja na mradi wa uzalishaji Sukari huko Morogoro

"Tutaendelea kutumia mbinu hii ya ukaguzi kwenye miradi ili kutoa ushauri kwa Serikali mapema ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema ili kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi mkubwa" - Charles Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

"Mbinu hii ya ukaguzi inawezesha mapungufu yanayoonekana kufanyiwa kazi kwa wakati badala ya kusubiri mradi umeshatekelezwa ndio tunaenda kutoa mapendekezo" - Charles E. Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

Nimefanikiwa kufanya ukaguzi wa kitaalamu kwenye miradi sita ya kimkakati. Kwenye kaguzi hizo, ofisi yangu imetumia mbinu mpya ambayo inahakikisha kwamba ukaguzi unafanyika kadri mradi unavyoendelea kutekelezwa - Charles E. Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

"Mradi wa upanuzi wa barabara ya Morogoro kutoka Kimara hadi Kibaha; mradi wa usambazaji maji wa Same, Mwanga na Korogwe; na mradi wa uzalishaji sukari huko Morogoro" - Charles Edward Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

Miradi ambayo nimefanya ukaguzi ni Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka DSM hadi Makutupora; mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP); mradi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kwa DSM (UDART) Gerezani mpaka Mbagala - Charles Edward Kichere

"Kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 nimetoa jumla ya hati 900 za ukaguzi ikiwa 243 serikali kuu, hati 185 za serikali za mitaa, hati 165 za mashirika ya umma, hati 290 za miradi ya maendeleo na hati 17 kwa vyama vya siasa” – CAG Kichere

Miradi ambayo nimefanya ukaguzi ni Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka DSM hadi Makutupora; mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP); mradi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka kwa DSM (UDART) Gerezani mpaka Mbagala - Charles Edward Kichere

Kati ya hizo 900, hati zinazoridhisha ni 800 sawa na asilimia 89%, hati zenye shaka ni 100 sawa na asilimia 9%, hati mbaya ni 10 sawa na 1% - Charles E. Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

"Vyama vya siasa tisa nimeshindwa kutoa maoni kwa sababu hesabu zao hazikuzingatia utaratibu wa kutengeneza hesabu na wengine hawakuleta kabisa hizo hesabu ili niweze kuzikagua" - Charles E. Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu Serikali

CAG Charles Kichere: Kwa Mwaka wa fedha 2019/2020 nimetoa jumla ya hati 900 za ukaguzi ambapo nimetoa kwa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Miradi ya maendeleo, mashirika binafsi pamoja na vyama vya siasa

- Kati ya hizo, hati zinazoridhisha ni 800 sawa na 89%

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amesema katika mwaka wa fedha 2019/2020 aliahidi kuongeza wigo wa ukaguzi katika mashirika mengine 10 na ahadi hiyo imetekelezwa
-
Ameyataja baadhi ya Mashirika hayo kuwa ni Shirika la Nyumba la Taifa, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Kampuni ya Ndege Tanzania, Chuo Kikuu Ardhi, Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Udhibiti ya Manunuzi ya Umma
-
Aidha, amesema miradi ambayo imefanyiwa ukaguzi wa kitaalamu kuwa ni ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere, mradi wa miundombinu wa mabasi yaendayo haraka (Gerezani-Mbagala) na upanuzi wa barabara ya Morogoro kipande cha Kimara hadi Kibaha

CAG Charles Kichere: Katika mamlaka ya Serikali za Mitaa, nimekagua hati 185

- Hati zinazoridhisha ni 124, hati zenye mashaka ni 53, hati mbaya nane. Sikushindwa kutoa maoni kwenye halmashauri yoyote

Mkurugenzi TAKUKURU: Tanzania imeendelea kupata sifa kimataifa katika mapambano dhidi ya rushwa

- Katika ripoti ya Taasisi ya Transparency International inaonesha Tanzania kupanda kwa nafasi 8 na kushika nafasi ya 94 kati ya nchi 180

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU: TAKUKURU ilifanya Operesheni ya Mikopo umiza na kuweza kurejesha Tsh. Bilioni 2.6 mashamba/viwanja 18, Nyumba 27, magari 18 na pikipiki 41

Pia wananchi 904 walioathiriwa na mikopo umiza wamesaidiwa

Mradi wa Maji Arusha nao ukaguliwe hakuna thamani ya pesa iliyotumika pale
 
Back
Top Bottom