chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Hujaviona vile vi bando vya vitabu pale? [emoji28][emoji28]Printa ZILIWAKA MOTO[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaviona vile vi bando vya vitabu pale? [emoji28][emoji28]Printa ZILIWAKA MOTO[emoji3][emoji3][emoji3]
Na ni mwaka mmoja tu, vipi tukipata report ya miaka hiyo mitano iliyopita?Billioni 60 ni pesa mingi sana.
Amka, zama zimebadilika.Hakuna kampuni kubwa duniani itaongozwa bila hasara wafanyabiashara wanaelewa labda lengo ilikuwa ni faida ya billion 200 faida ikapatikana billion 140 hapo kuna hasara kwenye faida
Only wakalimani wachache wanaweza kuelewa hii kitu
Ni kweli, mashirika mengi ya ndege yanaendeshwa kwa hasara nilishawahi sikia hiloNi ukewa mdogo wa watu tu wana wanaojua walijua kabisa shirika lilikuwa linapata hasara. Hakuna shirika lipya hivi la ndege linaendeahwa kwa faida Dunia hii
Amka, zama zimebadilika.Hakuna kampuni kubwa duniani itaongozwa bila hasara wafanyabiashara wanaelewa labda lengo ilikuwa ni faida ya billion 200 faida ikapatikana billion 140 hapo kuna hasara kwenye faida
Only wakalimani wachache wanaweza kuelewa hii kitu
Hivi mbona Dr. Bashiru na Ndugai wamekuwa wapole ghafla, kuna nini?Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Edward Kichere leo tarehe 28 Machi, 2021 amemkabidhi Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ripoti za ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2020 katika halfa fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi...
Sasa kama ni kweli alikesha ana doctor report to suit current situation ya nini kuendelea na mtu kama huyo kwenye mission critical post namely CAG, mama afumbe macho ahachane naye gracefully - hakuna jinsi.Kuna madini aliyafinyia kwa ndani ila baada ya mchezo kubadilika akakesha na kuyarejesha kwenye report.
Mama pia amempa moyo CAG na amemsisitiza afunguke asifiche-fiche mautopolo.
Kwani Corona imekuja lini mkuu? Report inaongelea miaka 5Hakuna biashara isiyo na hasara baba.,kipindi hiki cha Covid biashara ya anga mashirika mengi yamepata hasara na hata biashara zingine nyingi zimegonga loss.
60Billion ni vijisent tu cha msingi ni kuangalia impact zitokanazo na taifa kumiliki ndege zake.
Ni kweli lakini kwa ATCL yetu imetengeneza hasara kwa miaka yote!Hakuna biashara isiyo na hasara baba.,kipindi hiki cha Covid biashara ya anga mashirika mengi yamepata hasara na hata biashara zingine nyingi zimegonga loss.
60Billion ni vijisent tu cha msingi ni kuangalia impact zitokanazo na taifa kumiliki ndege zake.
Hekaya za Abu NawasHabari ndio hiyo [emoji205][emoji205]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kha jamaniSio leo ni kila maana weekend ilikuwa ndefu nipo kijiwen hapa tudhashiba ni mwendo wa kulaumu tu
Kwani Corona imekuja lini mkuu? Report inaongelea miaka 5
Sio kila biashara lazima uone faida ndani ya 5yrs, tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini, Inshallah.Nikweli lakini kwa ATCL yetu imetengeneza hasa kwa miaka yote!.
Uko sahihi sio kila biashara lazima uone faida ndani ya miaka 5, issue ni kwamba Kwa miaka mingine yote hiyo biashara waga ina hasara na inajulikana ndomana wengine wakaipotezea, ila mkuu yeye akaivamia bila research ya kutosha wanaojua wakapinga Sana maamuzi yake Ila kwakuwa ilikuwa ukipinga unabatizwa jina la adui wa maendeleo ya nchi na mbaya Zaidi akawa anatoa data za uongo kuwa shirika Kwa sasa linajiendesha Kwa faida.Sio kila biashara lzm uone faida ndani ya 5yrs,tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini,inshallah.
60B ni hela ya shopping ya siku moja ya mama Tiba
[emoji120][emoji120]