Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Amiri jeshi eeh [emoji23] [emoji23] kikinuka ndo atajua kama yeye ni amiri jeshi ama ni nani.
Usituletee commedy zako hapa, Rais ni Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama. Hakuna kijogoo yeyote juu yake wote wanasaluti na kuitikia sawa mkuu/afande.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani nchi anazopinduliwa Rais na hayo majeshi,huyo Rais anakuwa sio amri jeshi mkuu???
Angejua kuwa hata waliompindua Hosni Mubarak (RIP) ni watu wake wa karibu aliowapa vyeo asinge diriki kusema hivyo. Hata Omar Bashir alifikiri Jeshi haliwezi kufanya kitu kwa vile Majenerali wote ni watu aliowapa vyeo yeye.
 
Dahh! Haya bana. Endeleeni tu kukusanyana.
Hawa wote ninao waona hapa they are vulnerable to virus.

Wakenya wakikuwa sahihi kabisa kumuita vile.
Kenya ndio Tanzania? Mbona tunampa uwezo mkubwa sana huyu shetani anayejiita Corona? Kwani tuswipokutana ndio hatutakufa?
 
Akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU, Mh Magufuli mesema wazi wazi uwa uchaguzi mwaka huu mwezi Oktoba ni lazima utafanyika na hautaahirishwa, iwepo au isiwepo corona.

Mh Magufuli ameyasemea hayo huko Ikulu ya Chamwino, Dodoma jana tarehe 26/2/2020.

Kibwagizo cha yote ni maneno ambayo sasa ni muziki kwa wapinzani

"Na uchaguzi tutafanya, wapo wanaofikiri kwamba tutaahirisha, nani anataka kukaa kwenye maofisi haya muda wote hua" nikimnukuu Rais Mgufuli.

Siyo siri, kulikuwepo minong'ono ya kusema ati Ris Magufuli anataka kujiongezea muda wa kubaki madarakani, kwa kisingizio cha kukosa fedha za uchaguzi na sasa corona.

Sasa Magufuli mwenyewe kayweka wazi.
Mi nampa heko kwa hilo.
 
Wapingaji wa ufipa watapinga.
Sawa!! MAGATA bwana.
Screenshot_20200327-130900~2.jpeg
Screenshot_20200327-130907~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam Wana JF,

Turejelee mada yetu hapo juu, kama Taifa na wana JF hitaji letu kubwa ilikuwa ni Taifa lenye vipaombele yaani tuwe na mikakati endelevu ya hatua kwa hatua katika ujenzi wa Taifa. Sasa ni wakati wa sisi kuonyesha kuwa hatupeperushwi na hoja dhaifu ya Makonda tukasahau mambo ya msingi katika ujenzi wa Taifa.

Mheshiwa Raisi kapokea ripoti ya CAG ningeomba tujikite hapo:

1: Deni letu limeongezeka, maana yake ni nini ukilinganisha na “Tunajenga kwa Cash”?

2: Nini maana ya hasara kwenye balozi zetu?

3: Vp vyama vya siasa vimeangazwa vp na CAG?

4: Bado kuna matumizi ya fedha nje na sheria ya fedha ya mwaka husika?

5: Nk…

Haya ni machache, sasa wale JF wachumi wangetusaidia kuchambua ripoti nakuleta hoja mbalimbali kwa mjadala. Tusichezeshwe akili inatosha sasa…
Mwisho

Tusiendelee kubisha na wapumbavu tutafanana nao
 
Mbona kicheere hajasema kama wizara ya fedha umetumia 200bln kununua ndege ambayo haikuwa kwenye bajeti
 
" Taasisi ya umma haiwezi kujikagua kwa ufanisi Mashirika/Taasisi nyingine ya Umma. Tufufue TAC na COASCO watusaidie kukagua haya mashirika/Taasisi za Umma" - cw_pedro
 
Zamani Mzee Jiwe alinipa tumaini wakati vyuma vilianza kukaza
Nikasema nikirudi na Vi Swedish krona(corona) vyangu nitaweza kuwekeza
Kwa sasa nitamtumia swedish corona kwa MPESA bila ya kutolea
 
Wenye mamlaka wamesema mashule vyuo havita funguliwa,na sasa sio siku tena 30 ni mpaka litakapo tolewa tamko...
Hii ina maana gani ! Kwamba hakuata kua na Academic activity yoyote nchini mpaka tamko litakapo tolewa!.

Tunafahamu chanzo ni COVID19 na hii ni moja ya tahadhari.
So kwa akili tu ya darasa la nne la mkoloni ni kwamba tamko linasubiri hali iwe shwari .

Ukiachana masuala ya kitaaluma kuna mengi sna yanategemewa kusiamama kwenye kalenda ya mwaka ya kitaifa kama vile maadhimisho ya siku ya wafanya kazi duniani mei mosi, saba saba nk.
Tuombe CORONA isifike huko..

Unakumbuka hii ni 2020?,na pia huu ndo mwaka wa uchaguzi mkuu wa Raisi,Wabunge na Madiwani Tanzania.

Nawaza tu hapa kwenye chaguzi kuna kampeni(mikusanyiko) kuna vikao vya wanachama(mikusanyoko) kuna foleni kupiga kura(mikusanyoko) zimenijia what if kibao
Bado mikusanyiko ya kina mama kupewa doti za khanga ..

COVID 19 iishe tuendelee na maisha ya kawaida kama awari ili tuchague viongozi wetu tunao wataka.
lakini What if akachukua muda mpaka kipindi cha uchaguzi kikafika ?
Je! Raisi aliepo atapaswa kuendelea mpaka mambo yatakapo kua sawa ?

Au itabidi Raisi astep down mana kamaliza kipindi chake na mkataba wake na wananchi umefika ukomo so kwa namna yoyote atapaswa kutulia ili asubiri atapo pewa dhamana tena! ?

Hyo ni raisi nae ni mmoja ..
Vipi kuhusu wabunge ?
Wataendelea au wasubiri?
Kama hali itaendelea kua tete hata vikao vya bunge vina zaidi ya 90% ku hairishwa
Automatic wabunge wanakua hawana kazi
(labda zipo mimi sizijui)

Mengi yamesimana ila nadhani mengi yatasimama!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom