Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Kwenye kesi gani bwashee?

Lipumba alichota sh 300m akaingiza kwenye account binafsi kumkwepa maalimu Seif kwa sababu kwa mujibu wa katiba ya Cuf matumizi yote ni lazima yaidhinishwe na Katibu mkuu!

Hao waliompa chama Lipumba ndio walimpa msaada wa kuchota hizo hela. Kwenye huo uhuni spika naye alishiriki kwa kuwafuta wabunge halali wa CUF na kuwaweka mamluki wa Lipumba.
 
Kwenye kesi gani bwashee?

Lipumba alichota sh 300m akaingiza kwenye account binafsi kumkwepa maalimu Seif kwa sababu kwa mujibu wa katiba ya Cuf matumizi yote ni lazima yaidhinishwe na Katibu mkuu!
Maalim Seif alilisema hili mapema na akaandika barua kwa msajiri, hakujibiwa. Leo serikali hiyo hiyo mnasema CAG kafanya jambo la maana wakati mlimpa Lipumba Polisi kumsindikiza benki. Hatujasahau Jo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, nimesikiliza mawasilisho yote ya TAKUKURU na CAG - ki ujumla wanajitahidi kuonyesha wameokoa ama kurudisha kiasi fulani cha fedha. Nadhani kwa sasa hiyo ndio fashion. Sina hakika kama dhima zao ndio hizo au ndio yale ya kumsikilizisha anachotaka kusikia msikiaji.
 
Bora Rais kawakata ngebe wote waliokuwa wakisema kuwa ana mpango wa kuongeza muda wa kukaa madarakani.
 
Au nimesikia vibaya? Nasikia kuwa huko Dodoma kuna mtu anaitwa kichere anaendeleza Yale Yale ya Assad? Hao wanaosema awamu hiii eti hela azipigwi ebu njooni huku kuna maswali mwatakiwa kujibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumezoea kuona ripoti ya cag ikifichua madudu na uwozo. Sasa tunataka kuona vitendo yaani hatua za kisheria zikichukuliwa na vigogo wakipelekwa segerea- period
 
Mimi nashauri tu ili kuepuka gaharama za bure,corona na mengine yote yahusikayo
Bora tukutane 2025
 
Kwenye accounting hilo ni jambo kawaida kutokea,alafu baadae mnafanya reconciliation.

Kwenye Accounting,inakuwa kawaida kama kweli Reconciliation imefanyika na kuhakikiwa na CAG (Audit query response). Umeona ripoti ya CAG ya sasa ikisema maambo ni saaafi kuhusu 1.5Tril?Vinginevyo inaitwa UPIGAJI.
 
Huyu CAG hamna kitu anaibua vitu vidogo vidogo Sana yaani.

Hadi Magufuli anajishitukia na kumwambia Spika ripoti tutaiwakilisha kama ilivyo bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom