Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Kwenye Accounting,inakuwa kawaida kama kweli Reconciliation imefanyika na kuhakikiwa na CAG (Audit query response). Umeona ripoti ya CAG ya sasa ikisema maambo ni saaafi kuhusu 1.5Tril?Vinginevyo inaitwa UPIGAJI.
Fuatilia ripoti ya PAC baada ya tuhuma ya tril 1.5 kuonekana kama zimepigwa.PAC Walifuatilia hazina na ilijulikana hizo pesa ziko wapi. Kwa ufupi uhakiki ulifanyika kwa mujibu wa taratibu na hakuna upigaji.
 
Fuatilia ripoti ya PAC baada ya tuhuma ya tril 1.5 kuonekana kama zimepigwa.PAC Walifuatilia hazina na ilijulikana hizo pesa ziko wapi. Kwa ufupi uhakiki ulifanyika kwa mujibu wa taratibu na hakuna upigaji.

Kwaio siku hizi Queries zinajibiwa kwa PAC sio CAG tena ambae ndio ameziulizia? PAC na CAG wanapaswa wafanye kazi pamoja.. Na ripoti mpya iseme wapi walisolve.. Queries lazima zijibiwe na lazima ziwepo kwenye ripoti zote mbili ya PAC na CAG pia.
 
Kwaio siku hizi Queries zinajibiwa kwa PAC sio CAG tena ambae ndio ameziulizia? PAC na CAG wanapaswa wafanye kazi pamoja.. Na ripoti mpya iseme wapi walisolve.. Queries lazima zijibiwe na lazima ziwepo kwenye ripoti zote mbili ya PAC na CAG pia.
Ubishi wa kwenye kijiwe cha kahawa au? Queries inapoibuka PAC wanafanya uchunguzi na majibu lazima apewe CAG na bunge kwa ujumla. Usitake kujichetua.

Tofauti ya mapato na matumizi katika bajeti ni jambo la kawaida duniani pote. Ndio maana ya kuwa na watchdog commitees.Au unadhani ripoti ya CAG inapelekwa bungeni ili iweje?
 
johnthebaptist,
Hapa si kina Lugola ndo walikuwepo pamoja na Andengenye,hayo ni ya kwao bado yanawafuata ya Financial Year 2018/2019.
 
johnthebaptist,
Kama Ripoti hii ya 2018/19 haijaongelea zilipo Tsh 2.4 Trilion, basi siyo CAG report instead ni kipeperushi tu cha Serikali.

Kuna viwango vya ubora (Quality Standards) vinavyotakiwa kufikiwa ili iweze ku- conform kwenye viwango vya kimataifa
 
Nalo ni Jeshi!
Akiwa anaongea nao, anakuwa mnyenyekevu, mtulivu, kuwasifia, and the like. Akija kwa wengine, anakuwa na tambo, dharau, kiburi, majivuno, ukatili and many more delogatory words, gestures etc!
 
Duh siamini sanaaa maana wanajeshi wenyew wamewekwa mfukoni hawawezi hoji chochote.

Labda useme anajali wakuu wa jeshi +majenerali.

Na ndio kawaida ya tawala za mkono wa chuma.
 
Aliyetengeneza mipango ya ikulu sijui katumia mbao za mikaratusi? Mipango mibaya
 
Usituletee commedy zako hapa, Rais ni Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama. Hakuna kijogoo yeyote juu yake wote wanasaluti na kuitikia sawa mkuu/afande.
 
Usituletee commedy zako hapa, Rais ni Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama. Hakuna kijogoo yeyote juu yake wote wanasaluti na kuitikia sawa mkuu/afande.
Kwani nchi anazopinduliwa Rais na hayo majeshi,huyo Rais anakuwa sio amri jeshi mkuu???
 
Kweli kabisa mkuu,nakumbuka hata vyeti feki hakugusa kabisa haya majeshi yetu pendwa,sijui kwanini?
 
La komedi shoo....episode IIXMCI
Nipite kimya maana mie siyo muhimili mwingine...😀

Everyday is Saturday............... 😎
 
Back
Top Bottom