Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

Cuf wamekalia kuti kavu.......wametumbua fedha ya ruzuku bila Katibu mkuu maalimu Seif kuidhinisha!
Polisi wanaoiweka CUF mikononi mwa Lipumba aliyekwisha jiuzulu wanatuhumiwa kula hela ya marehemu.

CUF chini ya Lipumba wakisindikizwa na Polisi kwa idhini ya msajiri wa Vyama vya siasa wanatuhumiwa kutafuna ruzuku kinyume cha taratibu.

Uhalisia ni Polisi kuwasindikiza CUF Lipumba kuchota fedha za ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
heee jiwe sijamuelewa hapo aliposema ikulu ya chamwino ni kubwa ina km za mraba 34.5 kuliko hifadhi ya Taifa ya saanane yenye km za mraba 2
 
Dahh... Haya bana. Endeleeni tu kukusanyana.
Hawa wote ninao waona hapa they are vulnerable to virus.

Wakenya wakikuwa sahihi kabisa kumuita vile.

Nimeshangaa sana yaani business as usual
Utafikiri gonjwa liko nje ya mipaka tu
Mungu saidia kwa kweli


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom