Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Bado tu mnaendelea na damage control!?
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Zamani Ikulu palichukuliwa kama mahali patakatifu. Ila siyo siku hizi. Yaani hata watu wapumbavu wa mwisho kabisa katika jamii, eti wanayafahamu ma corridor yote ya Ikulu!!

Hakika maisha yanabadilika kwa kasi sana.
 
Ikulu kutoa mwaliko bila kutaja shughuli inayoenda kufanyika inaweza isiwe tatizo sana. Tatizo ni kumruhusu Mrisho Mpoto kuwananga viongozi wa kiroho bila aibu kana kwamba walijua walichoitiwa.

Aibu! aibu! aibu kuu.

Tumekuwa tukifanya mambo hovyo hovyo ndio maana hata kuendesha bandari yetu imetushinda.
Na alivyo na akili ndogo, eti anafikiri pilau ni chakula special sana kiasi cha kumnyanyapaa mtu ambaye muda wowote ule anaweza kula!!

Binafsi nimemdharau sana.
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Boss mwenyewe mswahili sasa unategemea nini
 
Ikulu ni mahali
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
patakatifu
Ikulu siyo pango la wanyang'anyi

Je Ikulu yetu sasa inatosha kuitwa mahali patakatifu?
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Hii nchi ni ya kipumbavu sana. Naona na leo tena wamemualika mpuuzi huyu kwenye uzinduzi wa chanjo ya mama na mtoto pale JNICC anaendelea na matusi yake. Sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama hii
 
Mtu yeyote mwenye common sense would have enquired what is the special event. It wasn't a secret and I believe the Father has his own sources of intelligence to know what ever is happening on a day to day basis.
 
Hii nchi ni ya kipumbavu sana. Naona na leo tena wamemualika mpuuzi huyu kwenye uzinduzi wa chanjo ya mama na mtoto pale JNICC anaendelea na matusi yake. Sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama hii
Nadhani huu ni ulaji wa mtu, hebu tuchunguze huyu chawa analipwa shs ngapi? Kwa show moja
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Ni ujinga mkubwa sana na usela mavi
 
Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?
Unashindwa hata ku reason mambo ya msingi...!
Jiulize wewe kweli hakujua wito unahusu nini?
Ok, alipojua alichukua hatua gani?
Mbona bahasha na pilau hakuisusa alipojua?

Ukiwa mnafiki kama wewe na yeye unalipwa hapa hapa duniani.
 
Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?
Unashindwa hata ku reason mambo ya msingi...!
Jiulize wewe kweli hakujua wito unahusu nini?
Ok, alipojua alichukua hatua gani?
Mbona bahasha na pilau hakuisusa alipojua?

Ukiwa mnafiki kama wewe na yeye unalipwa hapa hapa duniani.
 
Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?
Unashindwa hata ku reason mambo ya msingi...!
Jiulize wewe kweli hakujua wito unahusu nini?
Ok, alipojua alichukua hatua gani?
Mbona bahasha na pilau hakuisusa alipojua?

Ukiwa mnafiki kama wewe na yeye unalipwa hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom