Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Ninafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.

Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.

Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.

Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
Sahihi. Pia sitaki kuamini mialiko haikusema dhumuni kwa kuogopa waalikwa watagoma kuja. Most likely hawakutaka habari ya kusainiwa mkataba ivuje kabla ya wakati.
 
Sio
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
kila mwaliko NI wa kuukubali.yeye angejibu anaumwa full stop
 
Sahihi. Pia sitaki kuamini mialiko haikusema dhumuni kwa kuogopa waalikwa watagoma kuja. Most likely hawakutaka habari ya kusainiwa mkataba ivuje kabla ya wakati.
Kama mkataba uko sahihi na una maslahi ya nchi, kuna haja gani kuita umati wa watu!
Hii kitu ina send conflicting messages.
 
Back
Top Bottom