Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?
Unashindwa hata ku reason mambo ya msingi...!
Jiulize wewe kweli hakujua wito unahusu nini?
Ok, alipojua alichukua hatua gani?
Mbona bahasha na pilau hakuisusa alipojua?

Ukiwa mnafiki kama wewe na yeye unalipwa hapa hapa duniani.
Hongera sana
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Wanawake wote hata angekuwa Rais tabia ya kupenda kuchamba ipo pale pale!
 
Ninafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.

Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.

Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.

Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
 
Kwani si walisema RC wanajua kila kitu kinachofanyika Ikulu au?
What a waste!!
IMG_2941.jpg
 
Tusimlaumu kitima.

Mbowe mwenyewe baada ya kutoka jela aliitwa akakimbia haraka sana.

Na akaanza kusifia majukwaani akiwa amelewa.
 
Ninafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.

Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.

Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.

Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
Well said
 
Bora washamba kuliko malimbukeni
Ushamba na ulimbukeni ni kama suti tu juu hadi chini. Acheni ushamba na ulimbukeni kwamba Kila kitu mnajua ninyi tu kana kwamba watanzania Kuna kipindi wote tulikuja matajiri, tuna Akira, hatuna matatizo, tuna madawa.....! Kama sio ushamba na ulimbukeni kumbe nini?
Wengi mnasumbuka na udini na ushamba.
 
Ninafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.

Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.

Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.

Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
Kwa mfano:
Unapinga 'ufisadi' je, mafisadi wakikualika katika sherehe yao unakwenda?
Kitima mnafiki tu, hakuna lugha nyingine hapo.
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Waimba taarabu huba hata ndotoni, ulitegemea nini?
Think tank za ccm zilipiga makofi kwa kuonuesha kuunga mkono uhuni huo, unafikiri wanajielewa basi?
 
Kwa mfano:
Unapinga 'ufisadi' je, mafisadi wakikualika katika sherehe yao unakwenda?
Kitima mnafiki tu, hakuna lugha nyingine hapo.
Ukiwashauri waache ufisadi, wasipoacha hakuna sababu ya kususa kushirikiana nao. Ushauri siyo amri.
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Hii si bahati mbaya ilipangwa kwa mlango wa nyuma Ili mkataba ukubalike na public.Mpoto asingelikoroga,ingempa shida fother kujisafisha kwa vile alionekana kwenye move.
 
Back
Top Bottom