Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Nikiletewa barua ya mwaliko kwenda huko siendi n'go!!!
 
Kama nchi inaendeshwa na waswahili,tegemea hilo.
Tukanane tu, lkn mama ndo hivyo ameshawapachika lidole la kati......endeleeni kukata viuno.

Hv inaingia akilini mtu wenu huyo aitwe asijue anaitiwa nini huko ikulu, na asivyo mpenda mama kutokana na udini wake, ashindwe kuhoji?!!! Huo ni uongo......endeleeni, haters, kudanganyika.
 
Tukanane tu, lkn mama ndo hivyo ameshawapachika lidole la kati......endeleeni kukata viuno.

Hv inaingia akilini mtu wenu huyo aitwe asijue anaitiwa nini huko ikulu, na asivyo mpenda mama kutokana na udini wake, ashindwe kuhoji?!!! Huo ni uongo......endeleeni, haters, kudanganyika.

Mkuu mbona na wewe unaleta uswahili,wapi nilisema na mchukia sa100 kisa dini yake,suala la imani kwa kiongozi wa nchi halijawahi kuwa na faida mana haendi kuongoza misikiti au makanisa.

Kiongozi atapimwa kwa uchapakazi na utekelezaji wa ilani,kwahili sa100 kapwaya pakubwa.
 
Mkuu mbona na wewe unaleta uswahili,wapi nilisema na mchukia sa100 kisa dini yake,suala la imani kwa kiongozi wa nchi halijawahi kuwa na faida mana haendi kuongoza misikiti au makanisa.

Kiongozi atapimwa kwa uchapakazi na utekelezaji wa ilani,kwahili sa100 kapwaya pakubwa.
Mtazamo wako, sisi tunaona nyie haters ndo mmepwaya Big time!!
 
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
Hata makamu wa rais naye aliunga mkono hadharani maneno ya Mpoto. Sasa sijui naye tumuitdje? Mhuni au ndiyo imeenda hiyo?
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Yaan kwakweli hata hatufatilii tena mambo ya ikulu sio poa walivyomfanyia father but we remind them Katoliki ni zaidi ya serikali
 
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Huwa sina kawaida ya kuchangia kwenye post zako, lakini kwa hili nakuunga mkono. Ikulu imefanya upuuzi wa hali ya juu sana. Haingii akilini kualika "watu wenye heshima zao" kama watumishi wa Mungu na kuachia mhuni mmoja kuwadharirisha kwa kuwazodoa na kuwavunjia heshima.
Hata kama ni mimi, next time nikipata mwaliko toka Ikulu nitajihoji mara mia mia kama niende au la!
Ikulu wamejishushia hadhi kwa kiasi kikubwa.
 
Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.

Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.

Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.

Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.

Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.

Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.

Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.

IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.

Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!

Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.

Ikulu, mmejishushia hadhi.
Kwani wana hadhi?
 
Kitenge
Steve Nyerere
Zembwela


Low level Think Tanks wa kutegemewa.
Kuna usemi usemao, ukitaka kumfahamu mtu angalia alio ruhusu kuwa karibu nao. Msishangae mwenendo wa vijembe na masengenyo Ikulu.
20231029_064344.jpg
 
Back
Top Bottom