Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitumwa na mamlaka kudhalilisha kanisaMrisho Mpoto ni mganga wa kienyeji
Hiyi ni weaknessWanawake wote hata angekuwa Rais tabia ya kupenda kuchamba ipo pale pale!
Tukanane tu, lkn mama ndo hivyo ameshawapachika lidole la kati......endeleeni kukata viuno.Kama nchi inaendeshwa na waswahili,tegemea hilo.
Lafa tu weweUkitaka kujua tabia na mienendo ya waswahili ishi pwani mitaa ya uswahilini.
Kitima sio mnafiki na amedhihirisha hilo kwa kuendelea na msimamo wake.
Tukanane tu, lkn mama ndo hivyo ameshawapachika lidole la kati......endeleeni kukata viuno.
Hv inaingia akilini mtu wenu huyo aitwe asijue anaitiwa nini huko ikulu, na asivyo mpenda mama kutokana na udini wake, ashindwe kuhoji?!!! Huo ni uongo......endeleeni, haters, kudanganyika.
Lafa tu wewe
DP wako bandarini na wao hawatafanya chochote.Msimamo wa tec upo palepale sema kingine.
Mtazamo wako, sisi tunaona nyie haters ndo mmepwaya Big time!!Mkuu mbona na wewe unaleta uswahili,wapi nilisema na mchukia sa100 kisa dini yake,suala la imani kwa kiongozi wa nchi halijawahi kuwa na faida mana haendi kuongoza misikiti au makanisa.
Kiongozi atapimwa kwa uchapakazi na utekelezaji wa ilani,kwahili sa100 kapwaya pakubwa.
Hata makamu wa rais naye aliunga mkono hadharani maneno ya Mpoto. Sasa sijui naye tumuitdje? Mhuni au ndiyo imeenda hiyo?Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
Sera ya " ....ndiyooooooo....." inawalemaza akili!Hata makamu wa rais naye aliunga mkono hadharani maneno ya Mpoto. Sasa sijui naye tumuitdje? Muhumibzu ndiyo imeenda hiyo?
Yaan kwakweli hata hatufatilii tena mambo ya ikulu sio poa walivyomfanyia father but we remind them Katoliki ni zaidi ya serikaliKwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Kwakweli kanisa limedhalilisha hii haitaenda bureAlitumwa na mamlaka kudhalilisha kanisa
Huwa sina kawaida ya kuchangia kwenye post zako, lakini kwa hili nakuunga mkono. Ikulu imefanya upuuzi wa hali ya juu sana. Haingii akilini kualika "watu wenye heshima zao" kama watumishi wa Mungu na kuachia mhuni mmoja kuwadharirisha kwa kuwazodoa na kuwavunjia heshima.Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Kwani wana hadhi?Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Maandamano tunawaachieni wavaa kobaz kwa vile hamna kaziTEC andamaneni basi na kiwaraka chenu.
Au mnaogooa?
Kuna usemi usemao, ukitaka kumfahamu mtu angalia alio ruhusu kuwa karibu nao. Msishangae mwenendo wa vijembe na masengenyo Ikulu.Kitenge
Steve Nyerere
Zembwela
Low level Think Tanks wa kutegemewa.