jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
'Waswahili' unamaanisha nini? Kwamba nchi iendeshwe na wazungu ama!?
Kitima kalipwa unafiki wake.
Bado tu mnaendelea na damage control!?Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Zamani Ikulu palichukuliwa kama mahali patakatifu. Ila siyo siku hizi. Yaani hata watu wapumbavu wa mwisho kabisa katika jamii, eti wanayafahamu ma corridor yote ya Ikulu!!Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Na alivyo na akili ndogo, eti anafikiri pilau ni chakula special sana kiasi cha kumnyanyapaa mtu ambaye muda wowote ule anaweza kula!!Ikulu kutoa mwaliko bila kutaja shughuli inayoenda kufanyika inaweza isiwe tatizo sana. Tatizo ni kumruhusu Mrisho Mpoto kuwananga viongozi wa kiroho bila aibu kana kwamba walijua walichoitiwa.
Aibu! aibu! aibu kuu.
Tumekuwa tukifanya mambo hovyo hovyo ndio maana hata kuendesha bandari yetu imetushinda.
Boss mwenyewe mswahili sasa unategemea niniKwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
patakatifuKwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Tulipigwa utosini kwa hakika!. 😭Bibi yako amaekuwa mhuni uzeeni, yaan ukilitoa lile lishungi, na dera, anaweza kuwa levo moja na giggy money tu, what a shame
Hii nchi ni ya kipumbavu sana. Naona na leo tena wamemualika mpuuzi huyu kwenye uzinduzi wa chanjo ya mama na mtoto pale JNICC anaendelea na matusi yake. Sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama hiiKwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Nadhani huu ni ulaji wa mtu, hebu tuchunguze huyu chawa analipwa shs ngapi? Kwa show mojaHii nchi ni ya kipumbavu sana. Naona na leo tena wamemualika mpuuzi huyu kwenye uzinduzi wa chanjo ya mama na mtoto pale JNICC anaendelea na matusi yake. Sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama hii
Ni ujinga mkubwa sana na usela maviKwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.Mimi nafikiri heshima amejiahushia mwenyewe huyo Kitima. Mwisho wa unafiki ni aibu ndicho kilixho mkuta Kitima.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.
Wewe huoni ilipoishia akili yako hapo?Huu ndo mwisho wa uwezo wa akili yako kuwaza na kutathmini mambo..!! Unaweka mahaba sana kiasi cha kushindwa kufikiri kwa kina. Hujui athari ya jambo lile kwa mapana yake.