white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hii nchi ngumu sana!! Yaani std 7akishapata chaka la kula mema ya nchi kwa UCHAWA, ana kuwa na ubavu wa kumsuta hata prof. Wa uchumi kwenye mambo ya uchumi na, std 7akaonekana mshindi!!!Mrisho Mpoto ni mganga wa kienyeji
Hongera sanaWewe huoni ilipoishia akili yako hapo?
Unashindwa hata ku reason mambo ya msingi...!
Jiulize wewe kweli hakujua wito unahusu nini?
Ok, alipojua alichukua hatua gani?
Mbona bahasha na pilau hakuisusa alipojua?
Ukiwa mnafiki kama wewe na yeye unalipwa hapa hapa duniani.
Wanawake wote hata angekuwa Rais tabia ya kupenda kuchamba ipo pale pale!Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Ana nasaba na Nabii Tito lile punga la CCMAna undugu na Mshana Jr ??
Wavaa kobaz utawajua tu,pumbavu kabisa'Waswahili' unamaanisha nini? Kwamba nchi iendeshwe na wazungu ama!?
Kitima kalipwa unafiki wake.
Pumbavu!'Waswahili' unamaanisha nini? Kwamba nchi iendeshwe na wazungu ama!?
Kitima kalipwa unafiki wake.
What a waste!!Kwani si walisema RC wanajua kila kitu kinachofanyika Ikulu au?
Well saidNinafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.
Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.
Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.
Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
Na ukitakakujua 'ushamba' ishi bara mikoani mitaa ya ushambani.Ukitaka kujua tabia na mienendo ya waswahili ishi pwani mitaa ya uswahilini.
Kitima sio mnafiki na amedhihirisha hilo kwa kuendelea na msimamo wake.
Na ukitakakujua 'ushamba' ishi bara mikoani mitaa ya ushambani.
Tena hawakuishia hapo wakasema wana mizizi mpaka ndani huko na awabahatishi!Kwani si walisema RC wanajua kila kitu kinachofanyika Ikulu au?
Ushamba na ulimbukeni ni kama suti tu juu hadi chini. Acheni ushamba na ulimbukeni kwamba Kila kitu mnajua ninyi tu kana kwamba watanzania Kuna kipindi wote tulikuja matajiri, tuna Akira, hatuna matatizo, tuna madawa.....! Kama sio ushamba na ulimbukeni kumbe nini?Bora washamba kuliko malimbukeni
TEC andamaneni basi na kiwaraka chenu.Wavaa kobaz utawajua tu,pumbavu kabisa
Kwa mfano:Ninafikiri hata kama Fr Kitima na TEC wangekuwa wanajua kinachoenda kufanyika Ikulu bado hawakuwa na sababu ya kutohudhuria.
Fr Kitima na TEC wameweka rekodi sawa; hawaungi mkono IGA kwa masharti yale na vipengele vile vya mkataba. Wakashauri Serikali iachane navyo.
Ushauri siyo lazima ufuatwe, na hawapaswi kususa kwa sababu ushauri wao haujafuatwa.
Muhimu wameweka records sawa - hawaungi mkono uuzwaji wa Bandari zetu. Wakialikwa waende tu.
Waimba taarabu huba hata ndotoni, ulitegemea nini?Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.
Ukiwashauri waache ufisadi, wasipoacha hakuna sababu ya kususa kushirikiana nao. Ushauri siyo amri.Kwa mfano:
Unapinga 'ufisadi' je, mafisadi wakikualika katika sherehe yao unakwenda?
Kitima mnafiki tu, hakuna lugha nyingine hapo.
Hii si bahati mbaya ilipangwa kwa mlango wa nyuma Ili mkataba ukubalike na public.Mpoto asingelikoroga,ingempa shida fother kujisafisha kwa vile alionekana kwenye move.Kwanza niseme wazi kuwa, tayari nimeunga mkono juhudi za Mama Samia kuendeleza bandari kwa kuwapa DP World baada ya kurekebisha vipengele vya mkataba.
Hivyo vipengele bado havipo public, but we hold our President accountable kuwa ana nia njema.
Tatizo ni uswahihii uswahili uliotumika kualika washuhudiaji wa utiaji mkataba huo.
Watu wamealikwa wasijue nini kinaendeea.
Fr Kitima tunajua yupo TEC naye alialikwa bila kujua nini kinaendela, na wito kwenda Ikulu si jambo dogo.
Fr. Kitima pamoja na TEC wako on record kuonyesha mapungufu ya mkataba wa awali wa nchi yetu na DP World.
Sasa aliyealika alikuwa akijua anafanya nini na kwa dhamira ipi.
Mbaya zaidi wakamualika mhuni wa mitaani Mrisho Mpoto kuangusha vijembe dhidi ya Fr Kitima.
IKULU THATS LOW!
Next time mkialika mtu na mkamlisha nguruwe Ikulu nani atashangaa? Kilichofanyika ni uswahili wa wakuchamba mtu, not expected from Ikulu.
Was it coordinated?
Tunakumbuka hotuba Rais akisema hata waliopinga wapo humu!
Next time mkiita watu wenye heshima zao Ikulu, watahoji mwito huo kama una maslahi kwake mtu binafsi, au wanaenda kuchambwa na Mrisho Mpoto.
Ikulu, mmejishushia hadhi.