Ikulu, hili la Fr. Kitima na utiaji sahihi ni uswahili wa mitaani

Sahihi. Pia sitaki kuamini mialiko haikusema dhumuni kwa kuogopa waalikwa watagoma kuja. Most likely hawakutaka habari ya kusainiwa mkataba ivuje kabla ya wakati.
 
Sio
kila mwaliko NI wa kuukubali.yeye angejibu anaumwa full stop
 
Sahihi. Pia sitaki kuamini mialiko haikusema dhumuni kwa kuogopa waalikwa watagoma kuja. Most likely hawakutaka habari ya kusainiwa mkataba ivuje kabla ya wakati.
Kama mkataba uko sahihi na una maslahi ya nchi, kuna haja gani kuita umati wa watu!
Hii kitu ina send conflicting messages.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…